Reborn Ktb
JF-Expert Member
- Mar 14, 2021
- 6,820
- 9,588
Tembo mweupe
Tembo mweupe
i see 5 planes!
Yaani wewe siku unaingia Kenya nakuhakikishia tutakuja kukuombea dhamana nchi nzima😅😅Na sikuishia hapo nikawapa ukweli kuhusu Kenya na Wakenya ili wakue kwa mtindo huo, hapa ni mwendo wa kuwalisha sumu ambayo ndiyo ukweli wenyewe, wale madogo sidhani kama watawahi kuipenda Kenya, mana kwanza hawakuwa wanaifahamu zaidi ya kusikia sikia tu, wanasikia kuhusu misaada na hali ngumu ya Kenya, sasa jana nikamaliza kabisa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Much as your name might be grammatically mutilated, you’re not living up to it nothwithstanding.Tanzania Kuna vyanzo vingi vya utajiri sio kama Kenya njia pekee ya kupata visenti ni kwenda kuwa slaves uarabuni
Hebu taja mahali unasem hakuna kitu ndio tupitie pamoja hukuKundustan kilakitu ni Naipori tu kwingine kote ni huko hamna kitu
Yani vijana pale mtaani kwa sasa wanaona Kenya kama mavi, huwa naweka you tube kwenye TV alafu nawaonesha ma slums tu, sasa shida ya madogo kwa sasa wameshajua Kenya nzima iko hivyo na ni nchi fukara Africa hii hakuna mfano wake 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Yaani wewe siku unaingia Kenya nakuhakikishia tutakuja kukuombea dhamana nchi nzima😅😅
Kwanza there’s a disparity between the Kenya Police and the Kenya Defense Forces, educate yourself on each of their duties. Ushai skia Tanzania police ikilinda borders?Huu ni u Joker pro max, kulinda mipaka yenu tu msivamiwe na wanamgambo mmeshindwa ndiyo mkalinde Amani ya nchi kutoka bara lisilowahusu, nikuulize tu, kuna uhusiano gn kati ya Kenya na Haiti? Ukweli ni kwamba mlichangamkia fursa ya biden ya kutafuta mbuzi wa kafara, na kwa bahati mby Trump keshaondoa hiyo, kilichobaki ni kuendeleza u Joker kwa kutuma tena vi askari viwili vitatu hili mfiche aibu msichekwe, but ukweli siku zote utabaki kuwa ukweli na aibu iko pale pale hamuwezi ikwepa, lazima muwatafutie nauli majokers wenu mtake msitake 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nasikia Trump tayari ameshaweka kauzibe. Sa'sijui itakuweje?😎...Kenya police is part of international peacekeeping efforts led by the United Nations under to the UN Stabilization Mission in Haiti...