Walishafanyiwa mtu akaja kuharibu na aliyeharibu analalamika.
Imagine enzi za mzee Tanesco kuanzia chini hadi waziri wote walikua watu wa umeme yaani hadi kulikua na timu ya ya Engineer tu, imagine licha ya kuwa na vyanzo vichache tulikua na huduma ya umeme ya kueleweka.
Now licha ya kuwa na JNHPP wapo wanajivuna jivuna unakata hata bila taarifa.
Imagine unamtoa mtu DSTV unampa TANESCO? Unategemea mambo yaende.
Alafu mambo ya kulalamika kwa mkuu wa Nchi ni ujinga. Kwani hana power ya kuwatimua na amewaweka mwenyewe