Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ubungo, 7km from CBD,
Slowly ubungo is Turning into another CBD, come 5 years hii sehemu itakuwa tofauti kabisa.
Ziko nchi kama kunya unakuta Nairobi Km3 nje ya cbd ni slums na ufukara na uchafu.
1000011427.jpg
1000011424.jpg
1000011417.jpg
1000011410.jpg
1000011409.jpg
 
Leo kabla ya mechi ya Simba kuna muda nikaweka ligi ya Kenya kama dk 3 hiviii kati ya shabane Vs kaliobange, aiseeee uchale niliokutana nao humo sio wa dunia hii, kwanza uwanja hovyo, ni ghost 👻 alafu mpira butubutu mwanzo mwisho, madogo wakauliza timu za daraja la ngapi hizi? Nikawajibu hiyo ni ligi kuu Kenya, wakauliza tena kwa pamoja "kwani Kenya hawapendi mpira? Mbona wanacheza hivi alafu uwanja mbovu sn?, Nikawajibu bila kupepesa kwamba Kenya ni taifa maskini ndiyo mana ligi yao iko hivyo. Madogo wakaniomba nitoe na niweke Tabora Vs mashujaa.
Hao madogo wamekutana na mtu sahihi kabisa wa kuwaambia habari za Kenya, mimi nipo na group moja na classmates wangu wakenya, wananichukia to the core, hata nikiwa Kanairo kwa bahati mbaya siwatafuti, hawakawii kuniwekea sumu kwenye glass yangu ya wine au kunitegeshea bangi😅😅
 
Hao madogo wamekutana na mtu sahihi kabisa wa kuwaambia habari za Kenya, mimi nipo na group moja na classmates wangu wakenya, wananichukia to the core, hata nikiwa Kanairo kwa bahati mbaya siwatafuti, hawakawii kuniwekea sumu kwenye glass yangu ya wine au kunitegeshea bangi😅😅
Na sikuishia hapo nikawapa ukweli kuhusu Kenya na Wakenya ili wakue kwa mtindo huo, hapa ni mwendo wa kuwalisha sumu ambayo ndiyo ukweli wenyewe, wale madogo sidhani kama watawahi kuipenda Kenya, mana kwanza hawakuwa wanaifahamu zaidi ya kusikia sikia tu, wanasikia kuhusu misaada na hali ngumu ya Kenya, sasa jana nikamaliza kabisa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom