Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

who will be more affected ? 😂😂😂
zaidi ya ajira laki tatu na nusu its not a joke mzee
Ndo maana nakuita ngombe. Hizi ajira laki tatu umetoa matakoni? Alafu mbna uwashwe na wakenya kupoteza ajira ilhali pia watanzania watapoteza hizo ajira?
 
moderator naomba hzi picha ziwe invisible kwa wakenya plz 😂😂😂😂

IMG_3970.jpeg
IMG_3971.jpeg
IMG_3972.jpeg
IMG_3973.jpeg
 
Kenya's SWAT team in Haïti
View attachment 3227752
Huu ni u Joker pro max, kulinda mipaka yenu tu msivamiwe na wanamgambo mmeshindwa ndiyo mkalinde Amani ya nchi kutoka bara lisilowahusu, nikuulize tu, kuna uhusiano gn kati ya Kenya na Haiti? Ukweli ni kwamba mlichangamkia fursa ya biden ya kutafuta mbuzi wa kafara, na kwa bahati mby Trump keshaondoa hiyo, kilichobaki ni kuendeleza u Joker kwa kutuma tena vi askari viwili vitatu hili mfiche aibu msichekwe, but ukweli siku zote utabaki kuwa ukweli na aibu iko pale pale hamuwezi ikwepa, lazima muwatafutie nauli majokers wenu mtake msitake 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom