Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tukiwaambia no slums in Tanzania wanaleta unplanned settlement, kitu wasichojua au huenda wanajua ila wanajifanya wehu ni kwamba, ni rahisi kumaliza unplanned settlement kama ambavyo tumekwishaanza but ni ngumu kumaliza slums cz slums ni umaskini uliopitiliza.
Hawa wapumbavu wanachukua picha ya juu kwa mbaaaaali sehemu kama ilala ambayo ni high density. Wanachukua picha ya mbali ili ionekane nyumba zimebanana hakuna barabara. Wapuuzi sana wakati Ilala na sehemu kama Magomeni kumepangwa tangu enzi za mkolono.
 
Hiyo graph haionyeshi 70%! Bali Inaonyesha Kunyaland over 50% ya population inaishi kwenye slums!
Tanzania population living in slum is above 40%

IMG_1081.png
 
Back
Top Bottom