Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tukiwaambia no slums in Tanzania wanaleta unplanned settlement, kitu wasichojua au huenda wanajua ila wanajifanya wehu ni kwamba, ni rahisi kumaliza unplanned settlement kama ambavyo tumekwishaanza but ni ngumu kumaliza slums cz slums ni umaskini uliopitiliza.
Hawa wapumbavu wanachukua picha ya juu kwa mbaaaaali sehemu kama ilala ambayo ni high density. Wanachukua picha ya mbali ili ionekane nyumba zimebanana hakuna barabara. Wapuuzi sana wakati Ilala na sehemu kama Magomeni kumepangwa tangu enzi za mkolono.
 
Hiyo graph haionyeshi 70%! Bali Inaonyesha Kunyaland over 50% ya population inaishi kwenye slums!
Tanzania population living in slum is above 40%

IMG_1081.png
 
kwani hamnunui??? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

pwani yote ya kenya azam katawala achilia mbali nairobi
Decoder za Azam Kenya mzima hata hazifiki 100. Mimi naweza watch vipindi vya Azam bila kununua hizo decoders zao.
 
Who is world statistics? Who is their C.E.O? What about their MD? Do they even have an office anywhere in the world? Kati yao na World Bank Icho is to be trusted more?

View attachment 3211183
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘‡๐Ÿป๐Ÿ‘‡๐Ÿป๐Ÿ‘‡๐Ÿป๐Ÿ‘‡๐Ÿป

IMG_3249.jpeg
 
Back
Top Bottom