Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 31,238
- 33,471
Less than 100hebu rudi kauza decoder ngap so far?😂
Less than 100hebu rudi kauza decoder ngap so far?😂
Chuchunge Comment yangu inahusiana vipi na ulichoandika hapa!Si lazima mtu anunue decoder ya Azam ndio atazame programs being offered by Azam, why are you all this stupid?
so golden dragon ni kampuni yenu?😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Hao wanataka increment lakini wewe kwa ujinga wako unadhani hawajalipwa. I can assure you that what they earn currently is 10 times bigger than what their counterparts earn in Tanzania.
na inawatandika viboko kweli kweli😂😂Chuchunge Comment yangu inahusiana vipi na ulichoandika hapa!
Why unaumia Azam TV kuwepo kenya?
haya leta evidence na ukipata mm nafunga acc kwanzi sasa hvi😂😂😂Less than 100
Umesema wanapata faida by selling their decoders and that the matches can only be watched through Azam Decoder. I’m proving you wrong that sio lazima umiliki decoder ya Azam to watch their programs.Chuchunge Comment yangu inahusiana vipi na ulichoandika hapa!
Why unaumia Azam TV kuwepo kenya?
Leta evidence that ziko more than 100 basi.haya leta evidence na ukipata mm nafunga acc kwanzi sasa hvi😂😂😂
Hapo next time utumie "them" kwa lugha ya malkia inabalance gender ya huyo unaye mkusudia "handler".Tanzanian population is living in slum is 44%. That Twitter handler just left Tanzania out of that list intentionally because Tanzania is insignificant to him/her.
Mwaka wa kampeni huu unajua business per se nadhani kama kujilipa route hiyo ya Tanga-Moshi-Arusha-Musoma ina sound vizuri ila hela hazipo ni bora kukamilisha mradi mmoja uanze ku-operate then ndio uanze mradi mpya!kuna harufu kubwa saba ya upigaji this time sometimes nashindwa kuelewa tunakimbilia mikopo ovyo ovyo tu
Peleka ujinga wako mbali. That handle is controlled by one person, so tell why should I write “them”?Hapo next time utumie "them" kwa lugha ya malkia inabalance gender ya huyo unaye mkusudia "handler".
ww ndio umesema ziko lesa than 100 sasa niletee ushahidi nifunge acc mbuzi ww😂😂Leta evidence that ziko more than 100 basi.
shida hakuna usimamizi kwa sasa kila mtu anaongea anavijiskia uchawa chawa tu umejaa kusifiana kwa mambo ya kipuuzi baaasi 😂😂😂😂😂Mwaka wa kampeni huu unajua business perse nadhani kama kujilipa route hiyo ya Tanga-Moshi-Arusha-Musoma ina sound vizuri ila hela hazipo ni bora kukamilisha mradi mmoja uanze ku-operate then ndio uanze mradi mpya!
Juu unapinga kwamba ziko more than 100, I want you to prove me wrong. Ebu tuonyeshe picha za hizo Apartment with Azam decoder, Yani uone apartment decoder in a Kenyan building Alafu ukisema kupiga picha?ww ndio umesema ziko lesa than 100 sasa niletee ushahidi nifunge acc mbuzi ww😂😂
unaropoka tu mm nimekuja msa ile appartment nimefikia buxton sehemu zote zimefunga azam decoder alaf sahii unaongea pumba gani kila nyumba nilioingia ina azam tv mpaka pale fayaz restaurant kuna azam tv 😂😂😂😂
na azam tv imewatandika kweli kweli mm nina czn kisumu imagine kisumu na ana azam tv 😂😂😂😂 na aniambia inafanya vzr sana azam na watu wanaipenda sana
mwehu wewe leta ushahidi hapa eti less than 100 hao ndugu na jamaa nilionao wanapita over 100 na wako na azam tv 😂Juu unapinga kwamba ziko more than 100, I want you to prove me wrong.
Umejuaje?Peleka ujinga wako mbali. That handle is controlled by one person, so tell why should I write “them”?