muhogo_kiks
JF-Expert Member
- Dec 4, 2018
- 1,759
- 4,852
Akitoka huku akamtembelee na zakayo hapo juu 🤣🤣🤣
Ukiona mtu anafanya road trip to advertise their products just know that the current sales level is non-existent.😂😂😂
Nenda kwenye hiyo page soma comments kisha linganisha na maneno ya huyu chuchunge. 😂😂😂na azam tv imewatandika kweli kweli mm nina czn kisumu imagine kisumu na ana azam tv 😂😂😂😂 na aniambia inafanya vzr sana azam na watu wanaipenda sana
Where is their office located? What’s their management structure?Umejuaje?
Wacha wenge kazi inaendelea 👇 👇hii yetu hatujaimaliza na haijakaa stable tunataka kukimbia kwengine, kuna harufu kubwa sana yaupigaji 😂😂😂
Underline the word cousin, so you expected mwenye anajiita mtanzania akose decoder ya mwarabu anaishi Tanzania?na azam tv imewatandika kweli kweli mm nina czn kisumu imagine kisumu na ana azam tv 😂😂😂😂 na aniambia inafanya vzr sana azam na watu wanaipenda sana
Wacha wenge kazi inaendelea 👇 👇
View: https://www.instagram.com/reel/DFK30aTNcp7/?igsh=bGpxc3NtYnpyZ21q
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 😂😂😂😂😂Underline the word cousin, so you expected mwenye anajiita mtanzania akose decoder ya mwarabu anaishi Tanzania?
Ati kufanya vizuri Kenya? With a total decoder sales of less than 100? Ingekuwa kila Mkenya anapenda Azam their fb page haingekuwa na like tatu na zero comments in the posts they make there.😂😂😂😂😂😂😂😂😂 😂😂😂😂😂
unaumia azam tv kufanya vzr kenya na anasifika kweli kweli kila mkenya anafurahi na anaipenda azam tv
Fake GDP ngoja tuendelee kuwasaidia maisha 👇👇Huwa unasoma hizi links unapost hapa kweli?
prove then tuambie ww sales manager wa azam tv sasa hvi 😂😂😂😂😂Ati kufanya vizuri Kenya? With a total decoder sales of less than 100?
Mradi utaisha kwani shida Iko wapi? Deadline ni 2030.hatusemi kazi kuendelea swali je ishakamilika kuna vipande viwili vya reli vinajengwa kwa misukosuko na hatujui kama kazi inaendelea kweli 😂😂😂😂
maliza mradi weka usimamizi ambao hautahujumiwa na wachache kama
sasa mambo yanavoendelea alaf fikiria kujenga nyingine 😂😂😂😂
Juzi alikuwa Nrb alifuata nn kama sio kujaribu kumhonga? Yaani gharama zoote hizi halafu mnaenda kuangukia pua!Mzee kama wewe hujui tofauti ya fake na real news