Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Arusha ni kijiji kwa Mombasa, huko Bongoslum sidhani unaeza pata anyone owning a Ferrari outside Dar is a slum.

Image
 
Makwapa si mulijengewa bure na wachina ju nyinyi ni nchi maskini.
Hapana ule ulijengwa Kwa mkopo na tumeshaulipa lakini nyie mkopo umeshindikana juu hamkopesheki Sasa mmeamua msurrende Kwa wachina nchini nyenu yote achukue toll
 
this is an example of world class Electric BRT with matching infrastructure around it. Kuna miji mengine ambayo ina bodaboda, tuktuk,mkokoteni, punda, watu kwenye lanes za BRT ila hatuwezi pumua kwa sifa wanazoipa
Not congested, neat, no fighting and entering through the windows, courteous people.. damn!

View: https://youtu.be/pwEqG0G3wRg?si=JWDS41JpXvdlkG85

Hiki kimradi cha BRT cha Senegal ni 18.3 km

Hii ni Dakar, Senegal. Huwezi ona hii kwenye mji wowote Tanzania. One thing I know for sure, nyie mna wivu sana na sisi. BRT yetu ni kubwa mno na ya kipekee Africa.

Read hii: Senegal capital struggles to control horse-drawn carts
1736725325112.png
 
Kumbe hili nalo kasha!
Of course you resort to insults 😂😂
When you are told the reality you decide to spew Straight up hogwash 🤣
Hiki kimradi cha BRT cha Senegal ni 18.3 km

Hii ni Dakar, Senegal. Huwezi ona hii kwenye mji wowote Tanzania. One thing I know for sure, nyie mna wivu sana na sisi. BRT yetu ni kubwa mno na ya kipekee Africa.

Read hii: Senegal capital struggles to control horse-drawn carts
View attachment 3200168
What are you trying to say 😂
You’d be lucky to have those lol
You trying to imply that it’s shameful or dirty? I don’t get it. It looks like a pretty dope tradition to me..
 
Alitekwa na gari ya Tanzanian number plates. Alafu wewe ni mjinga, so akitekwa Kenya ni kumaanisha yeye ni Mkenya? Opposition wa Uganda alitekwa Kenya last year, yeye pia ni Mkenya?

The car that the kidnappers were driving had TZ plates. I mean come on LOL!

If that's the case I really wouldn't be surprised if this whole thing was staged. This woman's whole thing is engagement farming on Social Media. The bigger the controversy the more engagement she gets and the more the algorithms push her stuff to the top, and of course the more popular she gets.
 
Today I was strolling in the mall ( we just got back from Christmas holiday) to see what’s new and I met a couple named Kenya ( wife) and Kenyatta ( husband)… that was an interesting find ..😄… it’s when it dawned on me that there are so many females named Kenya and Males named Kenyatta in the United States … so far i haven’t come across anyone called Tanzania… and ain’t gonna happen 🤣… Kenya 🇰🇪 is that popular and also it’s such a beautiful name… You are welcome…..And now let the south Hate begins … 😄😄😄
 
Today I was strolling in the mall ( we just got back from Christmas holiday) to see what’s new and I met a couple named Kenya ( wife) and Kenyatta ( husband)… that was an interesting find ..😄… it’s when it dawned on me that there are so many females named Kenya and Males named Kenyatta in the United States … so far i haven’t come across anyone called Tanzania… and ain’t gonna happen 🤣… Kenya 🇰🇪 is that popular and also it’s such a beautiful name… You are welcome…..And now let the south Hate begins … 😄😄😄
Ila wew jamaa ni mshamba sio poa. Unaiona US kama mbingu sijui...poor you
 
The car that the kidnappers were driving had TZ plates. I mean come on LOL!

If that's the case I really wouldn't be surprised if this whole thing was staged. This woman's whole thing is engagement farming on Social Media. The bigger the controversy the more engagement she gets and the more the algorithms push her stuff to the top, and of course the more popular she gets.
Wacha upumbavu the car had kenyan number plates!


View: https://x.com/mamgunda1/status/1878499972225589254
 
Google updates everywhere equally. The maximum time is 3 years. Usitubebe ufala.

There is no man foolish enough to visit Kilimani and Sinza and even think there could be a comparison between the two in terms of infrastructure. Ni kama kulinganisha London na Dar. Hapo sinza nimekuonesha ukitoa Main Artery road (Sam Nujoma) barabara nzuri ni moja na hata sii nzuri kivile, it is just passable.
Kuna siku ulisema humu Wakenya hujiona kama Big Brother wa East Africa, huo ni ukweli. Ndio maana wakija huko waone hata kabarabara kamoja kazuri watakasifia maanake wanaona kama little brother ameamka otherwise kwa sector ya barabara za ndani mko chini sana.


Tofauti ni kwamba, hapo Sinza barabara nzuri ni za kutafuta, Kilimani barabara mbovu ni za kutafuta. Wabongo wanatafuta barabara nzuri Sinza wakipost, Wakenya wanatafuta barabara mbovu kilimani wakipost.
Secondly, there is nothing impressive about that road. It's just passable and that's it.
Nyuma ya hilo PPF building kunakaa hivi. Vumbi tupu. Ukiondoa hiyo Sam Nujoma Road (Main road) na Igesa road zingine ni vumbi tupu. Nionyeshe Kilimani barabara mbili zilizoshikana alafu zote vumbi nihame huu uzi.

View attachment 3192881
Mkuu hili ni eneo jipya kabisa linaloinuka ng'ambo na jengo hilo unaona ni msitu ni Eneo la University of Dar es Salaam na Mlimani City,hilo eneo lone ni planned area but for high density kwa kuwa wakati haikudhaniwa pangekuwa sana.Huwezi kuwa na lami kila kona at once
 
The car that the kidnappers were driving had TZ plates. I mean come on LOL!

If that's the case I really wouldn't be surprised if this whole thing was staged. This woman's whole thing is engagement farming on Social Media. The bigger the controversy the more engagement she gets and the more the algorithms push her stuff to the top, and of course the more popular she gets.
Kwnn Unatoa ushuhuda pasipo evidence? Tabia ya kijinga sn hii.
 
Back
Top Bottom