ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Hii si ndiyo ile barabara the most dangerous in the region? Angalia walivyoipaka makeup utadhani kweli vilee 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hope ujenzi umeanza tayari...
View attachment 3199679
Bado tujenge kiwanja kimoja tu pale Dodoma ili michuano hii tui host wenyewe.Tanzania kwenye mashindano ya Afcon mpira unaweza ukachezwa kwenye mikoa zaidi ya mmoja yaani Dar Es Salaam, Arusha, na Zanzibar.
Uganda pia wana uwanja Kampala na Hoima.
😂😂😂
uwanja haujengwi ovyo ni mpaka CAF wenyewe na team yao waridhike na miundombinu ikiwemo road, railway and airport , quality hotels and appartments, availability of quality food, maximum security day and night etcBado tujenge kiwanja kimoja tu pale Dodoma ili michuano hii tui host wenyewe.
kaka mm hawa sibishani nao bure mm nasbishana nao kwasababu nawajua mpaka rangi za chupi zao 😂😂😂 na hakuna mtu wanamuongopa na kumchukia kama mm coz wanajua muda wowote nawapumulia kichogoniAlafu hawa jamaa si walikuwa wanatutambia hapa kwamba na wao wanajenga BRT kama Tanzania, na kuna mnuka nnya mmoja akawa anapost na anabishana kabisa na ichoboy01 kwamba ujenzi umeanza? Nadhani babayao255 anaweza akatuwekea ushahidi wa post ya huyo mnuka nnya akiweka na vithibitisho eti ujenzi umeanza, miaka minne ss hatusikii cha brt wala nn zaidi ya lipstick brt 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nyoko wewe mbona renovation zenyu hazijafikia Amahoro stadium?We unaota ama nini 😂😂😂
Do you really think we are building a stadium from the 1980’s in 2025?? You must be delusional. Amahoro was built in the 1980s, we can renovate nyayo to similar standards but certainly not build one 50 year old stadium from scratch
Tumewaacha mbali sn mkuu.Meanwhile Jomo Kenyatta International Airport....ni aibu. Even Bukoba Airport is better😁
View attachment 3199684
Afraha stadium in Nakuru city in 2025.Post your top 10 stadiums hapa tuone wewe baboon.
Kafa kanjibai mwenye akili kuliko Wakenya wote.
Blackouts Sasa itakuwa thrice maana mumesalia vilaza watupu 😆😆👇👇
View: https://x.com/NationAfrica/status/1878308491191894031?t=9XKIwwgVlJwvRkHbeiIX6g&s=19
We should be able to host the HSBC Sevens series btw. The stadium will be able to host it and especially Kenya back on the big leagues and home of Shujaa…Tangu lini ukweli ukageuka na kuwa wivu? And why should I be jealous of a 20k seater mini stadium when we are building a gigantic 60k football and rugby only stadium?