Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Eti hakukua na first team hata mmoja wakati mmepeleka kipa wa first team pamoja na beki? Tena kucheza na kipande cha Kilimanjaro heroes.

View attachment 3195522

View attachment 3195528
Wamecheza na watezaji wa under 18 walikuwa wanacheza Uganda (Ngongoro Heros) na wanavyofuraha.
Kenya is a dead National.
Wachezaji waliocheza nao ni hawa hapa

1736315999010.png
 
Wewe Mganga wa Tandale…. Hujui Kasarani imehost major global events including World Junior championships na Continental global track meet … Dunia mzima imekunja Kasa … what global event has Mkapa hosted ?…..
Then pamoja na kuhost ikawa sio fifa quaalifier
 
Bongolala unajua maana ya neno 'grant'?
View attachment 3195483


Makwapa ni msaada kutoka kwa wachina
FB_IMG_1736316740413.jpg

Kwa kizungu hii inaitwaje,naomba msaada
 
Kwani hujaona mashamba Karen na Runda?
Hakuna mji Africa ukakosa mashamba, sijajua labda Joburg but napo ni Africa tu kuna wasaka tonge kama kawaida, hao wasenge wanaposema Nairobi hakuna mashamba so, wanataka kuongopa kwamba kumejengeka kote? Hivi hawa jamaa mara ngapi humu zimepostiwa picha za mashamba pale slum city, au hawaelewi maana ya shamba, mana kwao shamba wanamaanisha kiwanja, je kwao hakuna viwanja viko empty? Wasenge tu hao.
 
Wacheni excuses, hata sisi lineup yetu haikuwa na first team hata mmoja. Unaongea ni kama huwa mnatupiga tukikutana.
So, top scorer wa ligi na MVP wa ligi hawamo kwenye team ya taifa? Kwahiyo unapoongopa unapata nn? Over 90% ya wachezaji wenu wanatoka kwenye ligi yenu na wachache wanatoka ligi zingine ikiwamo NBC pl, acha ujinga.
 
Eti hakukua na first team hata mmoja wakati mmepeleka kipa wa first team pamoja na beki? Tena kucheza na kipande cha Kilimanjaro heroes.

View attachment 3195522

View attachment 3195528
So player mmoja pekee na ni Goalkeeper mwenye hata hakupata tisho lolote.......yani hata tungecheza bila keeper tungeshinda tu. 😂 😂
Mnapenda kutafuta excuses pale mnapopigwa.
 
🤣🤣🤣🤣🤣…. Am done for the day …. This will haunt my dreams for years to come …🤣🤣🤣🤣🤣🤣… kwani wewe ni producer wa Churchill show … 🤣🤣🤣… this the best post of 2025 !
Consoling each other is the best you can do 😀😀😀
 
Back
Top Bottom