Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unanionyesha nini na China Square Wanafungua branch yao ya nne Nairobi na tayari wako Kisumu na Mombasa, nimekuambia wewe ni mwenda wazimu. Tuwache malls za China Square Kenya tukuje kununua vitu kwa stalls bongoslum. 🤣 🤣 🤣 🤣 Tema hio jaba.

Image
sisi hatuzungumzii mambo ya supermarket sisi tunazungumzia kua hii ndio itakua china ya africa 😂😂👇🏻👇🏻👇🏻


View: https://www.instagram.com/p/C-ubbLmoETh/?igsh=eWVobDd1Z2xmdzI5
 
We will host AFCON upende usipende. Na kama Unataka kujua how powerful Kenya is then ngoja uone that tournament being postponed when Kenya will no be ready yet ikifika Feb.
nazungumzia kwanza CHAN achana na AFCON 😂😂😂😂😂

yani aibu gani munaitia east africa kelele kibao ya kujisifu eti powerful na yet uganda ana modern two stadiums nyinyi bado munakufa na kasarani 😂😂😂😂
 
Yemeni boy …strategic infrastructure is not your cup of tea….Let me enlighten you … if you want to open up areas outside of urban centers and set economic development rolling, you build infrastructure there …these you are calling misitumi stations will be the catalyst than will empower new developments… especially the Mombasa one was a genius move … watch and learn….
jibu ni kua serekali haikua na maeneo katikati ya miji ndio maana station zimepelekwa maporini sio mombasa wala nairobi 😂😂😂😂😂 alaf unaleta hoja imedhoofika kama mkojo wa shoga
 
Eti treni yenu ni new technology?🤣🤣🤣
How is electric train concept a new technology in today's world? Unajua zilianza kutumika lini? Wewe kweli bwege
We msenge kwetu ni new technology ila kwenu bado hata haijaanza kutumika, so hamna hadhi hata ya kuiita new technology, mpaka pale mtakapoanza kuitumia. Na ni lazima mje kujifunza huku mana kwenu itakuwa ni new technology ila kwetu haitokuwa hivyo, the same applies to brt huko kwenu. Tumewaacha mbali sn.
 
Hamtawaweza wale ndio wameshikilia Timu yetu
Sio kweli, kule Zanzibar kwenyewe mchezaji bora aliyeenda ni mmoja tu Fei, wengi hawapo kule mfano Bacca na Mudathiri ambao wapo kwenye michuano ya CAF hawawezi kushiriki ndondo cup, hao wakenya ile ndiyo team yao taifa na ndiyo mana hawakupata nafasi ya kwenda afcon, just imagine ile ndiyo team yao ya taifa wakati Tanzania kapeleka vilaza, hata Burkina Faso kapeleka grade ya chini mana huwezi kumtoa Aziz ki Yanga akacheze michuano ya mapinduzi.
 
Duh sikujua kumbe watu wajinga humu, umefatilia hata hiyo michuano ilivyo?

Mnacheza na Kilimanjaro Heroes mnajua hata ni timu gani?
Wacheni excuses, hata sisi lineup yetu haikuwa na first team hata mmoja. Unaongea ni kama huwa mnatupiga tukikutana.
 
Back
Top Bottom