Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Compare this environment with Changómbe. 😂 😂
a2-jpg.8520633
Compare and contrast
Screenshot_20241018-172414.png


Vs
a2 (2).jpg


Ya kwanza imezingirwa na uswazi while the second one is in a good, well-planned neighborhood. Kama mbingu na ardhi
 
👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻
Unanionyesha nini na China Square Wanafungua branch yao ya nne Nairobi na tayari wako Kisumu na Mombasa, nimekuambia wewe ni mwenda wazimu. Tuwache malls za China Square Kenya tukuje kununua vitu kwa stalls bongoslum. 🤣 🤣 🤣 🤣 Tema hio jaba.

Image
 
Hivi nyinyi wakenya kwnn ni wajinga hivi? Hii train yetu ni new technology bado ipo kwenye majaribio, hilo suala la kukwama ni kawaida, after hapo tunakuwa tayari tushajifunza, huwezi kusema eti sisi train zetu hazikwami lkn zenu zinakwama, eti ndiyo upate nafuu kwa kuji console. Daima reli yenu haitokuja kuwa efficient kuliko reli yetu ya umeme, never. Sisi pia tunayo reli kama hiyo yenu ambapo train zake zinatumia diesel, je ushawahi kusikia train imekwama? Ni kwasababu sio technology mpya kwetu tunaijua vzr tangu enzi za mababu, but hii ni technology mpya hata nyinyi miaka ijayo huko mkibarikiwa kuwa nayo ni lazima mtakuja kujifunza hapa, kwasababu sisi tutakuwa tayari tuna miaka mingi tunai run.
Eti treni yenu ni new technology?🤣🤣🤣
How is electric train concept a new technology in today's world? Unajua zilianza kutumika lini? Wewe kweli bwege
 
Nyie ni wendaazimu? National team iko wapi pale? Timu nzima nitajie mchezaji hata mmoja anayeanza taifa stars pale, wachezaji wa stars kikosi cha kwanza wote wapo kwenye vilabu vyao wanacheza michuano mikubwa, nyie wachezaji wenu wote mmewaita wakacheze ndondo cup mpaka MVP wa ligi yenu jua kali na top scorer wote mmeita kwenye ndondo cup just imagine 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Na bado mnajisifia 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwenye ile timu hakuna mchezaji hata mmoja kutoka Yanga,azam na simba
 
Back
Top Bottom