Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wacha kuficha aibu. Kubali yapo Bongo tofauti na mnavyodai.
Your mates are Nigerians. You lot are primitive and use construction vehicles.

Ndugu zenu hawa👇👇👇
1735742771245.png


1735742809736.png
 

Attachments

  • 1735742791949.png
    1735742791949.png
    108.8 KB · Views: 28
  • 1735742825375.png
    1735742825375.png
    168.5 KB · Views: 29
Mkuu unadhani ni rahisi kupanda hili dubwana ?, wakati mwingine tuweni compassionate
View attachment 3190184
Vitu vya kusaidiwa bwana mchina bado anaweka bendera yake hapo kwenye locomotive wakati huku kwetu sijawahi kuona bendera ya mkorea kwenye treni zetu.
We paid cash kwa treni zetu na jeuri ni yetu ku fly bendera yetu tuu.
 
Hata watu wa Rwanda Burundi Ugandan na DRC wanaweza,kuchukulia mzigo wao Dom na reli kipande cha Isaka ikikamilika huduma itasogea karibu zaidi.
Ndio mumejua umuhimu wa dryport in 2025, enyewe mnakuanga nyuma kama matako. 🤣 🤣 🤣
 
Tanzania rural area 😁
 

Attachments

  • FB_IMG_1735760537635.jpg
    FB_IMG_1735760537635.jpg
    36.6 KB · Views: 21
  • FB_IMG_1735760530593.jpg
    FB_IMG_1735760530593.jpg
    37.4 KB · Views: 25
  • FB_IMG_1735760521669.jpg
    FB_IMG_1735760521669.jpg
    33.4 KB · Views: 22
Back
Top Bottom