Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

hii nchi ni kama laana ya dunia nzima
IMG_2515.jpeg
 
nae ni shetani kama mashetani wengine kaka, ukitaka kuamini chunguza utajiri alionao baada ya kua rais unaeza sema ametengeza utajiri huo kwa miaka 300😂
Kila mtu ni mpigaji ni vile tu wengine hawajapata nafasi ya kupiga. 😂😂😂
Hata wewe ukipata nafasi ya kupiga huwezi acha.
 
We know you don’t have the freedom to rank your President juu ya uwuoga.
Raisi wetu sio malaika kwamba yeye hakisei, tubamkosia sana tu, ila tunamkosia kwa heshima na utu.
Kwa ujumla anajitajidi japo kwa kujikongoja.
Na sisi kwa ujumla anatufaa sana kwa sasa.

Nyie endeleeni Tu kumdhalilisha raisi wetu. Hatufanani kabisa, kwa hiyo msitufananishe na upuuzi wenu.
 
Back
Top Bottom