ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 82,481
- 88,615
Bado kuna Tanzania Institute of Accountancy nearby.Near Mkapa there is a Military base, Dar es Salaam university of Education, mandela road, a small BRT terminal, south kawawa roads and kilwa roads with BRT systems.
Labda una mkapa yako kichwani
Zinamiliki grazing fields? Ebu tuonyeshe timu tatu zenye zinamiliki stadiums and don’t forget to attach the pictures.Focus yetu haiko huko tena kwenye Council stadiums bali kwenye teams kumiliki stadiums na hata hivyo several teams kwenye premiership zinamiliki stadium's zao mpaka sasa.
Wivu gani na hiyo ndio ukweliAcha wivu😎
Jana hizi takataka kunyaland wakaenda kuvamia show ya mwanadada Shenseea kutoka jamaica 🇯🇲 wakaforce waingie bure police wakaanza kupiga mabomu show ikaharibika umasikini utawaua hawa manyangauOn bed already because my Kenyan neighbors are all broke!
Ni kubwa sana hiyo ,tuulize wakandarasikutoka 2908 mpaka 2866 ndio imeshuka nn hapo??😂😂😂😂😂
shida iko pale pale kwann mafuta ina kodi nyingi sana zinafika 22 alaf kwann mafuta yanacheleweshwa kushushwa bandarini maksudi ili damage ije tulipe sisi wanunuzi
yani ni simple logic haitaji hata uwe na D mbili kuelewa
watu wanataka kujua kwann mafuta yanakuja na damage all the time nani yuko nyuma ya hzo damage za kuchelewesha meli kushusha mafuta yani meli ya mafuta inachukua up to 2 months kushusha mafuta wewe huogopi??😂Ni kubwa sana hiyo ,tuulize wakandarasi
Kuna vitu vya Kunyaland vikija Tanzania vinakua vituko vya kitalii 😂😂😂 ona hii watanzania wanavyoishangaa lakini Kunyaland kwao ni very normal thing
View: https://vm.tiktok.com/ZMkAMx45t/ This post is shared via TikTok Lite. Download TikTok Lite to enjoy more posts: TikTok Lite - Save Data & Fast - Apps on Google Play
Hehehe, na ujue ziko mingi sana. Wanapenda tu kujidanganya😂Wacha kuficha aibu. Kubali yapo Bongo tofauti na mnavyodai.