Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Uliza Isaka Dry port iko toka lini? Kabla hata hamjakuwa na dry port kenya Isaka ipo na ina function
Ju iko kwa route ya SGR, usiwe pumbavu. 🤣 🤣 You know very well what I was talking about.
 
Alafu mnazitumiaje?

Hiyo pesa ni nyingi inaweza fanya mambo makubwa haihitaji siasa nyingi, ikiwa mpo na samia infrastructure bond mnatafuta under 200 billion, why msitenge 500 billion ya pesa za ndani kwa miezi mitatu ya kikodi kumaliza pengo la ROAD Fund ya TARURA?

JNHPP iliwezekana kwa pesa za ndani kwa model hiyo Bwawa linajengwa miaka 4, kila mwezi unakusanya 2Trillion, unashindwaje kufinance 7 trillion miaka 4, Same kwa Kigogo Busisi Bridge ya 300bn.


Tulia mpange hata hizo Barabara unazolilia ukiona Reli eti reli inakula pesa na unalalama 10 trillion ni kidogo kwa miaka 4 huku unakusanya 2Trillion kwa mwezi.

Naona mnatafuta sijui mwekezaji wa barabara za haraka (Expressway) wakati pesa mnazo, ndio yale ya Kigamboni bridge walipie, Tanzanite Bure, Kigogo Busisi bure kwa maamuzi.
kwa makusanyo hayo nilitegemea tozo zote zitolewe kwa sasa hasa hii tozo ya miamala ya simu inaumiza sana
 
Back
Top Bottom