Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Happy new year to everyone!! Na manyang'au wote pia!

Mnunua gift cards kidigitali na kuzawadia wapependwa wenu kupitia app yetu ya PAIY....inapatikana Play store, App store na kama wewe ni mtumiaji wa M-pesa basi utaipata kwenye m-pesa superapp. Huna haja ya kudownload tena.
 

Attachments

  • IMG-20241230-WA0021.jpg
    IMG-20241230-WA0021.jpg
    112.1 KB · Views: 20
Kwa Kasi hii ya makusanyo,next financial year average monthly revenue itakuwa 3T .

Kwa Sasa tuko 2.7T/M yaani rekodi Juu ya rekodi 🔥🔥👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DESCEmIoQWy/?igsh=MTR3Z3ptYmowNmd3bQ==

Alafu mnazitumiaje?

Hiyo pesa ni nyingi inaweza fanya mambo makubwa haihitaji siasa nyingi, ikiwa mpo na samia infrastructure bond mnatafuta under 200 billion, why msitenge 500 billion ya pesa za ndani kwa miezi mitatu ya kikodi kumaliza pengo la ROAD Fund ya TARURA?

JNHPP iliwezekana kwa pesa za ndani kwa model hiyo Bwawa linajengwa miaka 4, kila mwezi unakusanya 2Trillion, unashindwaje kufinance 7 trillion miaka 4, Same kwa Kigogo Busisi Bridge ya 300bn.


Tulia mpange hata hizo Barabara unazolilia ukiona Reli eti reli inakula pesa na unalalama 10 trillion ni kidogo kwa miaka 4 huku unakusanya 2Trillion kwa mwezi.

Naona mnatafuta sijui mwekezaji wa barabara za haraka (Expressway) wakati pesa mnazo, ndio yale ya Kigamboni bridge walipie, Tanzanite Bure, Kigogo Busisi bure kwa maamuzi.
 
Alafu mnazitumiaje?

Hiyo pesa ni nyingi inaweza fanya mambo makubwa haihitaji siasa nyingi, ikiwa mpo na samia infrastructure bond mnatafuta under 200 billion, why msitenge 500 billion ya pesa za ndani kwa miezi mitatu ya kikodi kumaliza pengo la ROAD Fund ya TARURA?

JNHPP iliwezekana kwa pesa za ndani kwa model hiyo Bwawa linajengwa miaka 4, kila mwezi unakusanya 2Trillion, unashindwaje kufinance 7 trillion miaka 4, Same kwa Kigogo Busisi Bridge ya 300bn.


Tulia mpange hata hizo Barabara unazolilia ukiona Reli eti reli inakula pesa na unalalama 10 trillion ni kidogo kwa miaka 4 huku unakusanya 2Trillion kwa mwezi.

Naona mnatafuta sijui mwekezaji wa barabara za haraka (Expressway) wakati pesa mnazo, ndio yale ya Kigamboni bridge walipie, Tanzanite Bure, Kigogo Busisi bure kwa maamuzi.
Bil.500 unayoitaja unadhani itamaliza pengo? Network ya Barabara hasa za Tarura inakua Kila siku Miji na Vijijini vipya vinavyoongezeka,aliyekudanganya kwamba hizo pesa ndio zitamaliza hizo shida ni nani?

Pili mahitaji ya Nchi sio Barabara pekee,Kuna shule ,maji ,Afya nk Mfano Bajeti ya mikopo ya wanafunzi wa Vyuo ni zaidi ya Bil.800 lakini wanafunzi wamekosa Bado ,hapo hela inatosha?

Ku summarise tuu ni kwamba Bajeti ya Nchi ni zaidi ya Trilioni 45 lakini makusanyo ya vyanzo vyote ni wastani wa Trilioni 30 huku nakisi ikizibwa na mikopo na hiyo mikopo inalipwa tena Kwa riba.

Hakuna siku pesa zinatosha au umewahi sikia Bajeti ya USA imetosha? Kama huko hazitoshi ndio itakuwa Tanzania ambayo population growth ni zaidi ya 3%? Yaani Juu ya ukuaji wa Uchumi.

Mwisho mwaka ujao SSH government utaanza kukusanya mara 2 ya Mwendazake na pesa zitatoka hapa 👇 👇

View: https://x.com/InvestTanzania/status/1869235203979301295?t=9mim15YkHFJAh-C_BUObGg&s=19
 
Back
Top Bottom