Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wakati Mwl analiona hilo wao huenda walimuona atakufa masikini yaani viongozi wao wanajitengenezea mabomu wao wenyewe kwa kuiba mali za umma
1735552724250.jpg
jamaa kaongea maneno mazuri sana aise anauliza how comes in kenya mtu mmoja anamiliki ardhi ya 4 million acres

View: https://x.com/richardonyonka_/status/1873288645257703710?s=46
 
Hatimae umekubali kwamba Hio plan ilzalishwa kwa enzi za Mwalimu Nyerere
(Ninayemheshimu sana) Ila nini ikafanyika? Hamna. Kwa hivo mlifeli kuyatekeleza yale mipango yalivyokuwa yamewekwa. In fact, the actual official moving of the capital was in the late 90’s. Na kuanzia hapo hamna cha maana likichofanyika mpaka enzi za JPM.
Which is my point exactly! “Kusitisha”
Don’t be lazy in implementation of projects and expect us to respect and recognize them as achievements when you are eons behind schedule! Do not declare it a capital city if you are not able to implement it, and if you declare it, then build or else expect criticism.. your double standards are insane..
Read this again! View attachment 3188185
Duh kazi ipo.
 
Haikuwezekana kuendelea na mpango baada ya vita na Uganda(Oct.1978-June 1979) ambapo uchumi wa Tz uliporomoka sana. Elewa hilo na usijisahaulishe tafadhali (ingawa nina hakika ulikuwa bado hujazaliwa)😁😁
Bro wacha excuses, mbona waitetea sana serikali kama kwamba wewe ni mwanasiasa anaye benefit kwa serikali? That’s exactly why you guys don’t hold government to account. You guys are too chauvinistic
 
Sasa hapo nn mbaya mkuu? Plan ilianzishwa na Mwl Nyerere, lkn kutokana na kutokuwa na uwezo Mwl akashindwa kutimiza ndoto zake, hatimaye moja kati ya watoto wake (JPM) ambaye alikuwa na mapenzi na usikikivu mkubwa kwa Baba yake akatimiza ndoto za babaake. FYI, mji ulianza kuhamishwa from 2017 and not in the late 90s as you claimed, Dom ukirudi nyuma from 2017 ulikuwa hauna hata hadhi ya kuitwa city let alone capital status. Siku hizi umekuwa mjinga sana tofauti na nilikvyokuwa nakujua kama moja ya wakenya smart, lkn najua kuwa mkenya ni mkenya tu habadiliki, ujinga wa kina Nicxie waliourithi kwa Kenyatta SR wamekuhamishia na wewe, by the way nimekujibu in respectful way kutokana na ku declare kwamba "unamuheshimu sana" my Idol (Julius K Nyerere).
Kwa hivo kunitusi ati mjinga ndio respectful 😂😂 Ile siku mtakuwa accountable for whatever is going on in your country ndio nitawaheshimu. Lakini kusifia serikali kila wasipotekeleza wajibu na majukumu na wakiwapa lawama mnaamini tu bila kubisha, hivo ndivo hela zako wewe zitaliwa bila huruma. Hio sio kupenda serikali, huku Kenya tunapinga serikali sio kwa chuki ila tunataka nchi yetu iendelee. Hio ndio patriotism ya ukweli. We don’t praise the government for doing what it should! Sio msaada, ni majukumu!
 
Bro wacha excuses, mbona waitetea sana serikali kama kwamba wewe ni mwanasiasa anaye benefit kwa serikali? That’s exactly why you guys don’t hold government to account. You guys are too chauvinistic
Wewe bado ni kijana mdogo na huelewi mambo mengi. Acha kujifanya mjuaji wa kila kitu😁
 
Kwa hivo kunitusi ati mjinga ndio respectful 😂😂 Ile siku mtakuwa accountable for whatever is going on in your country ndio nitawaheshimu. Lakini kusifia serikali kila wasipotekeleza wajibu na majukumu na wakiwapa lawama mnaamini tu bila kubisha, hivo ndivo hela zako wewe zitaliwa bila huruma. Hio sio kupenda serikali, huku Kenya tunapinga serikali sio kwa chuki ila tunataka nchi yetu iendelee. Hio ndio patriotism ya ukweli. We don’t praise the government for doing what it should! Sio msaada, ni majukumu!
Suala la kuhamisha capital city halikua wajibu wa serikali kwa wananchi, mbona unalazimisha.? Kwahiyo ulitaka tuandamane kulazimisha serikali ihamishe shughuli zake Dodoma.? 😂😂😂 uliona wapi wewe maandamano ya hivyo.? Au uliona wapi serikali ikiwa criticized kwa kutohamisha capital city.? 😂😂 huu ujuaji wako ni upumbavu mzee
 
Yaani hata kama ni uhuru wa kujieleza umevuka mipaka huwezi kusimama unatukana mamkaka kijinga hivyo
Wanakuambia wana demokrasia lkn ndiyo hiyo iliyowafikisha hapo walipo, kila mtu anataka kuwa raisi mpaka NairobiWalker na Nicxie wanataka kuwa maraisi. Hawatokuja kuendelea kamwe. Wataendelea kutusindikiza mpaka kizazi chao cha kumi.
 
Back
Top Bottom