Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Bil.500 unayoitaja unadhani itamaliza pengo? Network ya Barabara hasa za Tarura inakua Kila siku Miji na Vijijini vipya vinavyoongezeka,aliyekudanganya kwamba hizo pesa ndio zitamaliza hizo shida ni nani?

Pili mahitaji ya Nchi sio Barabara pekee,Kuna shule ,maji ,Afya nk Mfano Bajeti ya mikopo ya wanafunzi wa Vyuo ni zaidi ya Bil.800 lakini wanafunzi wamekosa Bado ,hapo hela inatosha?

Ku summarise tuu ni kwamba Bajeti ya Nchi ni zaidi ya Trilioni 45 lakini makusanyo ya vyanzo vyote ni wastani wa Trilioni 30 huku nakisi ikizibwa na mikopo na hiyo mikopo inalipwa tena Kwa riba.

Hakuna siku pesa zinatosha au umewahi sikia Bajeti ya USA imetosha? Kama huko hazitoshi ndio itakuwa Tanzania ambayo population growth ni zaidi ya 3%? Yaani Juu ya ukuaji wa Uchumi.

Mwisho mwaka ujao SSH government utaanza kukusanya mara 2 ya Mwendazake na pesa zitatoka hapa 👇 👇

View: https://x.com/InvestTanzania/status/1869235203979301295?t=9mim15YkHFJAh-C_BUObGg&s=19

Umeelewa hata nilichoangika?
 
Kwa nini lipa kwa Mpesa wanatoza tozo? Hawaone wanadiscourage Mobile cashless economy?
Ujinga sana alafu kuna mijitu kazi kusifia. Noti unaona kabisa zinaharibika mtaani na kurudiwa kuprint, plus cashless economy huenda ikasaidia sana kuinua huu uchumi na kupunguza matukio ya wizi utapeli na ujambazi.

Akili zao zinawaza tozo tu, Imagine waliwaza kuwekea tozo kwenye CNG inayotumika kwenye magari na CNG yenyewe inatoka Mtwara na ipo chini ya government like seriously wakati walitakiwa kuhimiza kwa kuweka ruzuku CNG itumike kwa wingi kupunguza uagizaji wa Petrol kusave foreign reserve inayotumika kuagiza mafuta.

Yaani mpaka mtu unashangaa wanawaza nini? Alafu baadae wakikopa kila mradi wanaushikiza na mkopo hata miradi ambayo mwanzo walisema ni ya tozo.
 
Hata hapo unaona yupo mazingira ya Kidunia ya kisasa. Akapige na garimoshi tuone.

Mbona hatusikii hata delegate wakiitumia ngijangija hata wenyewe humu hawaendi lipanda.
Eti dunia ya kisasa. 🤣🤣🤣Hapo Dodoma akitoka kwenye station mazingira ndio haya. Usidhani hatuijui Dodoma.
1000525095.jpg

1000525074.jpg


View: https://x.com/JapanAmb_TZ/status/1824813226783109320?t=d-GG9fQonDGG5atSr5wENg&s=19
 

Attachments

  • 1000525095.jpg
    1000525095.jpg
    606.1 KB · Views: 26
Back
Top Bottom