Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 34,103
- 32,923
Umewatisha nyang'au wameanza kutetemeka, ha ha ha ingawa ni fiksi tu; lakini wanavyomwogopa mzungu😁
Utashinda kubisha ukweli 😂😂😂
Haya tuseme hio imeandikwa na foreigners, pia hawa ni foreigners kwenu, sio?
Yaani hadi mnawaita ni wakenya, huyu masai anaongea facts
View: https://youtu.be/pQJZG68rzEw?si=uQVXZPk20PrRm7sm
Listen to your president talk about your fellow Tanzanians as if they are second class citizens. Putting more value on wild animals than human life
View: https://youtu.be/YJDOrFkr85c?si=Av-sXvFcZJbscbCL
kasongo hatoki na hatotoka endeleeni kuchoma nchi yenu wapuuzi nyinyi😂😂 sisi ndio furaha yetuWhy am I not surprised that you are easily duped by the simplest form of Gen AI. Manze jaribu kujifamiliarize na LLM’s in 2025, sawa?
kasongo hatoki na hatotoka endeleeni kuchoma nchi yenu wapuuzi nyinyi😂😂 sisi ndio furaha yetu
atakula hela zenu na hamuna kitu mutafanya kondoo nyinyi
View: https://x.com/eastleighvoice/status/1873812960235122757?s=46
na hatoki ikulu hata mutoke nje uchi nchi nzima hata mulie machozi ya damu hatoki kwenye kiti ya urais 😂😂😂😂Boss hii sio habari, ni wakenya wenyewe walivote kum rank the most corrupt hata tunashindwa mbona hakupata number 1 😂😂 tafuta lingine
We are not the same
Tuna international airports nyingi in Tz. JNIA, KIA, ZNZ etc zote zina direct flights to and from international destinations Tz sio nchi ya airport moja kama Kenya.Alafu Mwisho wa mwaka inapokea abiria 1.5M pekee.
Mjini bado kuna vichaka !!!🤣🤣🤣🤣
Embu tuambie Airport yenu capacity yake ni ngapi halafu tufanye comparison na JNIA tuone ipi ni kubwa? Wacha numbers ziongee acha ngonjera.Usiwe mjinga, a terminal is just a building, haimaanishi eti zikiwa mingi the bigger the airport, kuna many big airports with just 1 terminal. Mbona bongolalas mnakunaga wajinga hivi lakini. 🤣 🤣 🤣
UgaliMaandamano ya nini haya?
That is terminal 1 only.I'm not your friend and if this is what you are praising I rest my case.View attachment 3188911
Piga kelele wee siachii hizo kende. Terminal 2 is for domestic use and currently is undergoing massive renovation.If you have been inside terminal ii jnia, you wouldn’t have the balls to call jkia a colosseum. I took a picture in that terminal 1 year ago. here see for yourself
PS Who told you JKIA has 1 terminal?
View attachment 3188946View attachment 3188947
Also, notice the Fort Jesus Mombasa advertisement
View attachment 3188948
hahaha bado mpaka leo hujajua kwann wamasai wameondolewa hapo?😂😂😂
so ww unajua zaidi kuliko sisi??? au unajua kwann hili jambo limepingwa sana ni kwasababu hao unaowasikiliz walikua wanapata maslahi yao kupitia hao wamasai na si wengine bali wengi walikua wakenya hili jambo limewauma sana wakenya kuliko binaadamu yoyote na hamkutegemea kama wangetolewa hapo kuna mengi huyajui nyuma ya pazia na bahat nzuri tanzania imekua mbele ya muda dhidi yenu 😂😂😂😂😂
Kwa mawazo yako New York hakuna Building hata mojaI'm not your friend and if this is what you are praising I rest my case.View attachment 3188911
jamaa kaongea maneno mazuri sana aise anauliza how comes in kenya mtu mmoja anamiliki ardhi ya 4 million acres
View: https://x.com/richardonyonka_/status/1873288645257703710?s=46