Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwa hivo kunitusi ati mjinga ndio respectful 😂😂 Ile siku mtakuwa accountable for whatever is going on in your country ndio nitawaheshimu. Lakini kusifia serikali kila wasipotekeleza wajibu na majukumu na wakiwapa lawama mnaamini tu bila kubisha, hivo ndivo hela zako wewe zitaliwa bila huruma. Hio sio kupenda serikali, huku Kenya tunapinga serikali sio kwa chuki ila tunataka nchi yetu iendelee. Hio ndio patriotism ya ukweli. We don’t praise the government for doing what it should! Sio msaada, ni majukumu!
Ok, endeleeni kupinga serikali yenu, sisi tuna brt, modern airports, jnhpp, na the mighty electric sgr. Poleni wakenya.
 
Watanzakundu wanaishi kama nguruwe, angalia muonekano na mpangilio wa NBO kutoka angani alafu linganisha na lile jehanamu linaitwa Dar slum.
1000003840.jpg
 
Ukiachana na lile terminal la international flights ambalo liko empty kila wakati, hili duka ndio wanalotumia 😂😂😂
1000003844.jpg
 
Back
Top Bottom