Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

wizara ya mambo ya nje😀😀
IMG_0175.JPG
IMG_0176.JPG
 
WASANII WENGI WA KENYA HAWAJUI KUPENDEZA:

sote tunajua kwamba showbiz sio tu kuwa na kipaji cha kutunga, kuimba,kuigiza au kuchekesha bali pia ni namna gani msanii unaji-package katika muonekano mzuri.

mimi ni shabiki mkubwa wa miziki ya kenya,ila ninakwazwa na namna wasanii wa kenya wanavyojiweka kimuonekano.

ukweli wasanii wengi wa kenya hata wale ambao mimi nakubali kazi zao,hawajui kuvaa wakapendeza, wengi sio wasafi,pia hawajui ku-brand muonekano wao.

mfano mdogo ni hawa vijana watatu wa kikundi cha h_art the band.

hawajipendi,wapo rough sana na wachafu sana.
bbc1dd710b7dd7a2338c4796af24c14c.jpg
fe8c63b3d0e44db7a993cdf255c8c69c.jpg
9f227fd51f4d90d53bb25460ac6fa3e4.jpg
d79ec08c14750afffe555b551bd15d33.jpg
de25ff9922215cbf3e04660955b18771.jpg


katika hili,wasanii wa tanzania wanastahili sifa,wengi wao wanajua kuji-keep up with popular trending fashion.

our artists are fashionable,they know how to brand their image with some nice and fredh outfits.
d124a5d25edf177009e4a1d260d00985.jpg
6ad3564ad30a3c9ee1041d8e2904e5ad.jpg
fd1fbaa09d85b6a3eefa09dd6aaabb50.jpg
18ca45c41372ff6a133ae80f5a20169e.jpg
0e3bfe57fe83e4a4ac1877b2ed71ca9f.jpg
887a577be28e11807b8e6f101579aea0.jpg
77f1b7fca93579ddf1cd3c761019dd1e.jpg
df125960a627fb6b234ce3321fba1c2e.jpg
0300280f08077c007b777cec3722d7d7.jpg
4a6c58cc8ba7de379af06548b0e15b85.jpg


wasanii wa kenya wana jambo la kujifunza toka kwa wasanii wa tanzania.

ikumbukwe mashabiki wakubwa wa mziki duniani ni watoto wa kike.

kwa uvaaji wa hovyo na muonekano mbaya wa wasanii wa kenya,sishangai kwanini "mamanzi" wengi wa kenya hupagawishwa na wasanii wa bongo hususani kiba na diamond.

makala hii imeandikwa na kadoda11 wa jamiiforum.
 
WASANII WENGI WA KENYA HAWAJUI KUPENDEZA:

sote tunajua kwamba showbiz sio tu kuwa na kipaji cha kutunga, kuimba,kuigiza au kuchekesha bali pia ni namna gani msanii unaji-package katika muonekano mzuri.

mimi ni shabiki mkubwa wa miziki ya kenya,ila ninakwazwa na namna wasanii wa kenya wanavyojiweka kimuonekano.

ukweli wasanii wengi wa kenya hata wale ambao mimi nakubali kazi zao,hawajui kuvaa wakapendeza, wengi sio wasafi,pia hawajui ku-brand muonekano wao.

mfano mdogo ni hawa vijana watatu wa kikundi cha h_art the band.

hawajipendi,wapo rough sana na wachafu sana.
bbc1dd710b7dd7a2338c4796af24c14c.jpg
fe8c63b3d0e44db7a993cdf255c8c69c.jpg
9f227fd51f4d90d53bb25460ac6fa3e4.jpg
d79ec08c14750afffe555b551bd15d33.jpg
de25ff9922215cbf3e04660955b18771.jpg


katika hili,wasanii wa tanzania wanastahili sifa,wengi wao wanajua kuji-keep up with popular trending fashion.

our artists are fashionable,they know how to brand their image with some nice and fredh outfits.
d124a5d25edf177009e4a1d260d00985.jpg
6ad3564ad30a3c9ee1041d8e2904e5ad.jpg
fd1fbaa09d85b6a3eefa09dd6aaabb50.jpg
18ca45c41372ff6a133ae80f5a20169e.jpg
0e3bfe57fe83e4a4ac1877b2ed71ca9f.jpg
887a577be28e11807b8e6f101579aea0.jpg
77f1b7fca93579ddf1cd3c761019dd1e.jpg
df125960a627fb6b234ce3321fba1c2e.jpg
0300280f08077c007b777cec3722d7d7.jpg
4a6c58cc8ba7de379af06548b0e15b85.jpg


wasanii wa kenya wana jambo la kujifunza toka kwa wasanii wa tanzania.

ikumbukwe mashabiki wakubwa wa mziki duniani ni watoto wa kike.

kwa uvaaji wa hovyo na muonekano mbaya wa wasanii wa kenya,sishangai kwanini "mamanzi" wengi wa kenya hupagawishwa na wasanii wa bongo hususani kiba na diamond.

makala hii imeandikwa na kadoda11 wa jamiiforum.
Daah mkuu umenifanyanicheke sana
Hao maninja....daaah kwelo shida

0e5e17d8d0c369141e632c7f0286c1bf.jpg
 
Back
Top Bottom