WASANII WENGI WA KENYA HAWAJUI KUPENDEZA:
sote tunajua kwamba showbiz sio tu kuwa na kipaji cha kutunga, kuimba,kuigiza au kuchekesha bali pia ni namna gani msanii unaji-package katika muonekano mzuri.
mimi ni shabiki mkubwa wa miziki ya kenya,ila ninakwazwa na namna wasanii wa kenya wanavyojiweka kimuonekano.
ukweli wasanii wengi wa kenya hata wale ambao mimi nakubali kazi zao,hawajui kuvaa wakapendeza, wengi sio wasafi,pia hawajui ku-brand muonekano wao.
mfano mdogo ni hawa vijana watatu wa kikundi cha h_art the band.
hawajipendi,wapo rough sana na wachafu sana.
katika hili,wasanii wa tanzania wanastahili sifa,wengi wao wanajua kuji-keep up with popular trending fashion.
our artists are fashionable,they know how to brand their image with some nice and fredh outfits.
wasanii wa kenya wana jambo la kujifunza toka kwa wasanii wa tanzania.
ikumbukwe mashabiki wakubwa wa mziki duniani ni watoto wa kike.
kwa uvaaji wa hovyo na muonekano mbaya wa wasanii wa kenya,sishangai kwanini "mamanzi" wengi wa kenya hupagawishwa na wasanii wa bongo hususani kiba na diamond.
makala hii imeandikwa na kadoda11 wa jamiiforum.