Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sikumla sema alikua kafunga tako balaa, alinizoea sana sikupenda mapishi yake hawajui kupika..alinialika hadi mahali anaishi...sikutaka tu roho ilikataa!!
Mimi nimesoma na wakenya mademu wao wana shobo sana kwa wabongo, mademu zao karibia wote ni walevi wenyewe walikua wani ita keroro na siyo ajabu kuvuta fegi au bangi.

Ila hii ishu ya wizi ni true story hapa sileti masikhara.. Masela wa kikenya walikua wanakuja na nguo walizo vaa tu chini wana safari boots na kapero na empty bag. Siku ya kufunga xul wana ondoka na mizigo kibao .

Wenyewe walikua wanajiita Maboyz wa nguvu!! yani ni agressive mpaka wamepitiliza. Una eza ukawa rafiki yao ila ukizubaa tu wanakuibia, wenyewe wana kwambia "msee kua radar time zote" . Ila walikua wana nibamba n i made many Kenyan friends.
 
Dar na Nairobi kila mmoja ana weakness na strength zake.. Afu naona picha mnazotupia humu ni ile za sehemu nzuri nzuri tuu na ziko edited balaa. Nai kuna uzuri wake, wako na shopping malls za kutosha, migahawa mingi sana na mizuriii, afu wakenya wana utaratibu mzuri sana wananunua mahitaji supermarket, so hakuna viduka duka vya mangi ile kila kona. Afu pia wako na utaratibu mzuri mnoooo wakati wa jioni kwenye kupanda manyanga (bongo tunaita daladala) , wanapanga foleni wa hakuna kugombaniana usafiri kama wendawazimu. Nairobi kuna gardens na park zenye space ya kutosha zile watu wanaeza chill jua likiwakomesha after hustles za hapa na pale. Nai wana flyovers za magari na za waenda kwa miguu nyingi nyingi kiasi.
Dar kuna mradi wa RBT, kuna coco beach.
Ila all in all tukiacha ushabiki shabiki ule wa kila mwamba ngoma ngozi huvutia kwake... Nai wameipiga bao Dar kinamna flani hiviii....
No hard feelings
We punga wa kibela naona tako lakuwashaa mazeee,
 
harufu imeanza kunukia😀😀
32fl each
IMG_0148.PNG
IMG_0101.JPG
 
We punga wa kibela naona tako lakuwashaa mazeee,
Sasa matusi ya nini katika jamii ya watu waliostaarabika? Ndio tatizo lenu wabongo,baadhi mna midomo michafuuuu. Matusi tuu ndo mnayoyaweza badala kubishana kwa hoja. Just a reminder, I'm entitled to my own opinion. No hard feelings
 
Choko mwenzenu huyo, njaaa zimezidi kaona Masada upo madaree tz, wakunyaaa bhnaaaa mnatia aibuuu na maharo yenuu
 
Mimi nimesoma na wakenya mademu wao wana shobo sana kwa wabongo, mademu zao karibia wote ni walevi wenyewe walikua wani ita keroro na siyo ajabu kuvuta fegi au bangi.

Ila hii ishu ya wizi ni true story hapa sileti masikhara.. Masela wa kikenya walikua wanakuja na nguo walizo vaa tu chini wana safari boots na kapero na empty bag. Siku ya kufunga xul wana ondoka na mizigo kibao .

Wenyewe walikua wanajiita Maboyz wa nguvu!! yani ni agressive mpaka wamepitiliza. Una eza ukawa rafiki yao ila ukizubaa tu wanakuibia, wenyewe wana kwambia "msee kua radar time zote" . Ila walikua wana nibamba n i made many Kenyan friends.
Hahaha ilikua raha kukaa na hao jamaa...hawana sumu Hawa tunaenda nao sawa tu!!
 
Sasa matusi ya nini katika jamii ya watu waliostaarabika? Ndio tatizo lenu wabongo,baadhi mna midomo michafuuuu. Matusi tuu ndo mnayoyaweza badala kubishana kwa hoja. Just a reminder, I'm entitled to my own opinion. No hard feelings
Mzee pambana na hali yako usilete ukunyabongo tz
 
I won't argue with a fool like you, because you will end up dragging me yo your level and beat me with your experience as a fool...
ndugu badilisha gear hii imefail tayari 😀😀
watu kama wewe walikwepo wengi sana
 
I won't argue with a fool like you, because you will end up dragging me yo your level and beat me with your experience as a fool...
We tako tu wa kibela weka porojo zako hapo ukichoka tuletee bongo huku tukukaze waonesha umewashwa Sana na u tz,
 
Back
Top Bottom