thisdayes
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 3,610
- 4,557
mm kenya wewe hunidanganyi bro nimefika sehemu nyingi sana 😀😀😀😀😀Good job man. Tembea pia wewe upate kujua chakula kitamu sio cha mama peke yake.
Waje huku wayaone majengo unique tusiyo copy n pestHahaha RIP UAP TOWER in advanve, old mutual my dick
Unique building...dar tupo vizuri hatukopymajirani wakiendelea kuchimba visima toka mwaka 2014 mpaka leo sisi tunakamilisha miradi
View attachment 653757 View attachment 653758
What's up with this same old road please?
hio road iliku 3 ways ikapanuliwa to 5 ways na sasa inapanuliwa 8 ways plus 2 ways BRT😀😀😀What's up with this same old road please?
Ninapokuwa kenya that's my favorite food, yaani mukimo na ndomaZote ni sawa Tofauti ni kuwa Mukimo iko pounded/mashed.
Mimi nimesoma na wakenya mademu wao wana shobo sana kwa wabongo, mademu zao karibia wote ni walevi wenyewe walikua wani ita keroro na siyo ajabu kuvuta fegi au bangi.
Ila hii ishu ya wizi ni true story hapa sileti masikhara.. Masela wa kikenya walikua wanakuja na nguo walizo vaa tu chini wana safari boots na kapero na empty bag. Siku ya kufunga xul wana ondoka na mizigo kibao.
Wenyewe walikua wanajiita Maboyz wa nguvu!! yani ni agressive mpaka wamepitiliza. Una eza ukawa rafiki yao ila ukizubaa tu wanakuibia, wenyewe wana kwambia "msee kua radar time zote". Ila walikua wana nibamba n i made many Kenyan friends.
Jamàa wapo tuliiii,utadhani wanaangalia movie za "X"
