Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

some boring foreign mall
b03e8348cdd627b07f8dc1f6a9515a46.jpg
 
Wengine hao
[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]

2ca78d1d884b187c50c9b62169278083.jpg
dae1cf6dba62fdeafcce6f35e6788e3b.jpg
ca33a7c5247d627c87a1c85eb0a8e22a.jpg
56befa6ede8343c43426e1feea87c94f.jpg


Back to ze swag
3e700b2fad335c40163ac9148c2c24bd.jpg
7dd9a7ee50db7d94ddf8207d90af1b64.jpg
0bb7ae17469d4aa4c902a81393f40bd8.jpg
a9e05402fa160429791fc6511f957b9a.jpg
008a36435c197dfb76ef1c069409606a.jpg

Poor matadol for all kenyan
 
wasanii wa kenya wanaamini ili ufanikiwe katika sanaa yako, sio lazima upendeze,bali ujue kuzungumza kingereza.[emoji23]

usafi sio issue kwao....wale jamaa ni wachafu bhana.[emoji23]
Niwapuuzi sana
 
WASANII WENGI WA KENYA HAWAJUI KUPENDEZA:

sote tunajua kwamba showbiz sio tu kuwa na kipaji cha kutunga, kuimba,kuigiza au kuchekesha bali pia ni namna gani msanii unaji-package katika muonekano mzuri.

mimi ni shabiki mkubwa wa miziki ya kenya,ila ninakwazwa na namna wasanii wa kenya wanavyojiweka kimuonekano.

ukweli wasanii wengi wa kenya hata wale ambao mimi nakubali kazi zao,hawajui kuvaa wakapendeza, wengi sio wasafi,pia hawajui ku-brand muonekano wao.

mfano mdogo ni hawa vijana watatu wa kikundi cha h_art the band.

hawajipendi,wapo rough sana na wachafu sana.
bbc1dd710b7dd7a2338c4796af24c14c.jpg
fe8c63b3d0e44db7a993cdf255c8c69c.jpg
9f227fd51f4d90d53bb25460ac6fa3e4.jpg
d79ec08c14750afffe555b551bd15d33.jpg
de25ff9922215cbf3e04660955b18771.jpg


katika hili,wasanii wa tanzania wanastahili sifa,wengi wao wanajua kuji-keep up with popular trending fashion.

our artists are fashionable,they know how to brand their image with some nice and fredh outfits.
d124a5d25edf177009e4a1d260d00985.jpg
6ad3564ad30a3c9ee1041d8e2904e5ad.jpg
fd1fbaa09d85b6a3eefa09dd6aaabb50.jpg
18ca45c41372ff6a133ae80f5a20169e.jpg
0e3bfe57fe83e4a4ac1877b2ed71ca9f.jpg
887a577be28e11807b8e6f101579aea0.jpg
77f1b7fca93579ddf1cd3c761019dd1e.jpg
df125960a627fb6b234ce3321fba1c2e.jpg
0300280f08077c007b777cec3722d7d7.jpg
4a6c58cc8ba7de379af06548b0e15b85.jpg


wasanii wa kenya wana jambo la kujifunza toka kwa wasanii wa tanzania.

ikumbukwe mashabiki wakubwa wa mziki duniani ni watoto wa kike.

kwa uvaaji wa hovyo na muonekano mbaya wa wasanii wa kenya,sishangai kwanini "mamanzi" wengi wa kenya hupagawishwa na wasanii wa bongo hususani kiba na diamond.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
makala hii imeandikwa na kadoda11 wa jamiiforum.
Hart the band huvaa style ya 80's.
wewee ni mzee lakini hata huoni.
niliwahi kuwasikia wakisema kwa interview flani
 
Hart the band huvaa style ya 80's.
wewee ni mzee lakini hata huoni.
niliwahi kuwasikia wakisema kwa interview flani
Ha haa usinifurahishe....huu ni uchafu aisee wazee wa zamani walikuwa wanajipenda walikuwa smart
[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]
9c5090d751c7b50c9ec53525da59f23f.jpg

ed3b613c439584818fc3d2d394bf4c2f.jpg
e00bf2add07445ddd9826114c5d8e7e9.jpg



TIZAMA SASA JINSI WAKONGWE WALICYOKUWA WANAPENDEZA SMART TOFAJTI KABISA NA HAO MACHOKORAA WENU
[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]
04dc63b6eb6e8dc73560be8466a76e44.jpg
f878de8914975501c7160e9f181de1d1.jpg
6948cc2974cf721311377215fc3cb003.jpg
b9bce5d818361bfe68210c6410001ed7.jpg
ffce3eaf3be2c4b5f257504f67bbef2e.jpg
 
Hart the band huvaa style ya 80's.
wewee ni mzee lakini hata huoni.
niliwahi kuwasikia wakisema kwa interview flani

usiwatetee msee,
hakuna cha style ya 80s pale...wale ni wachafu,period.

mimi ni wa 1950s but i look classy,fresh,clean and younger 100 times than many musicians of current generation in kenya.
 
mwanamziki pekee nchini kenya ambaye alikuwa anapendeza kimavazi na kujiweka msafi ni prezoo.

sema tu vile kimziki kashuka.
 
mwanamziki pekee nchini kenya ambaye alikuwa anapendeza kimavazi na kujiweka msafi ni prezoo.

sema tu vile kimziki kashuka.
Na amekuwa akipendeza sababu ya kumix wazazi mmoja mbongo mwingine mkenya....hvyo nahisi ile trip yakujahuku kuwasalimu ndugu wakwaupande wa maza wake moja kwa ikabidi aadupt baadhi ya vitu from bongo ikiwemo mitupio
Ila nawasiwasi laiti prezoo wazazi wake wote wangekuwa na asili ya kenya naye pia angekuwa mchafu tu..[emoji3] [emoji3]
 
Na amekuwa akipendeza sababu ya kumix wazazi mmoja mbongo mwingine mkenya....hvyo nahisi ile trip yakujahuku kuwasalimu ndugu wakwaupande wa maza wake moja kwa ikabidi aadupt baadhi ya vitu from bongo ikiwemo mitupio
Ila nawasiwaai laiti prezoo wazazi wake wote wangekuwa na asili ya kenya naye pia angekuwa mchafu tu..[emoji3] [emoji3]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
acha nilale...nikiamka,issue ya usafi wa kimavazi na muonekano mzuri wa kisanaa miongoni mwa wanamuziki wa kenya na tanzania ndio itakuwa topic yangu ya siku nzima.

nimeshandaa nondo za kutosha,so wakenya wajipange.sitohitaji porojo ila facts na attachment (images).[emoji23]
 
Back
Top Bottom