Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huoni ni usenge ujipe credibility ya mradi wa mwanzilishi full electric alafu baadae utuletee ngija ngija huku kuna vichwa LUKUKU vya UMEME.

Mzee alijua mradi unaenda bila noma ndio maana kujaza umeme tu. Wajinga wakaja na "mama mama". Huku kuna hujuma inaendelea bado wanatetea ujinga.

Wengetoa excuse gani? Imagine hudili na tatizo la Hujuma, hitilafu, mapema tu unataka kuleta vichwa vya Diesel. Kama si ufala nini.
Hao jamaa sijui vichwani mwao Kuna Nini hivi serikali yenye mkono mrefu inashindwa kwadhibiti hao kenge wanaohujumu mradi?
 
Ooh thanks for clarifying.

That's great.

Hope wawe na njia za kudeal na tatizo sio waje na solution ya kijinga. Wakiacha tatizo.
Ni mara mbili tu treni imekwama kwasababu ya umeme. Mara ya kwanza sabotage walivyokata waya na ya pili national grid failure. Mara zote nyingine ilizokwama ni system failure kwenye uendeshaji TRC na hii ni kwasababu ya ugeni na training hafifu. Lakini treni ikikwama kitu cha kwanza wanazi wanafikiria ni umeme umekatika. Ni kama gari ikikwama tu useme mafuta yameisha kumbe kuna matatizo mengine mengi tu yanaweza kusababisha.
 
Kadogosa na genge lake walisema ikitokea umeme unakatika, vichwa vitabaki kuwa na uwezo wa kuendelea kutembea kwa masaa yasiyopungua mawili maana vina uwezo wa ku-store power! Kadogosa anatakiwa kujiuzulu na kushtakiwa kwa hili!
Tunakujua wewe unachuki na wasukuma. Huna lolote. 🤣 🤣
Sukumaphobia
 
Mlikuwa mnatucheka mkisena kila jengo refu tunajenga twin towers sasa hivi mnaruka?
Wewe ni wazimu. Dar Iko na twin towers ngapi ndio tuseme kila jengo lenu ilikuwa ni twin tower? Do they even reach three?
 
Hiyo ni old Dar and we are proud of it.
Hapo diversity ya Dar es Salaam inapoonekana.
Dar kuna Uptown kuanzia Azikiwe street kwenda hadi baharini hadi kuvukoni...uko utakuta offices nk
Kuna old Dar es Salaam nyuma tu ya Askari Monument, kisutu, nyuma ya hizo tower hadi mnazi mmoja park
Kuna Downtown tuseme ambayo ndo kariakoo yote
Kuna upanga ambayo ni residential iliyopo karibu sana


Sio lazima kila miji ifanane vinginevyo ni ushamba na ukosefu wa exposure
Acha kutetea uozo
 
Sasa kwani ni uongo mzee.?

1.PSPF twin towers
2.LAPF twin towers
3.BOT twin towers
4.MNF twin towers
5.MZIZIMA twin towers

Niende Lee.?
Tell me how this building below (mnf) is a twin tower
images (96).jpeg
 
Back
Top Bottom