Waandishi sometimes chenga wanatafuta heading toka kichwani mwao.Mimi mwenyew najua hivyo.
Au watu hawakumuelewa kadogosa?
Waandishi sometimes chenga wanatafuta heading toka kichwani mwao.Mimi mwenyew najua hivyo.
Au watu hawakumuelewa kadogosa?
Great.Hao Wapumbavu tu. Wanaakaa na maumivu miezi mitatu,treni ikizimika mara moja wanashangilia utafikiri wameshinda lotto.
Weekend ndefu nilikuwa Moro, ngomq iko vile vile unatamani usifike. Nishapanda hii train zaidi ya mara tano sijawahi kupata hio emergency.
Tangu National Grid izingue kuna issue hadi leo? Mradi ambao WB waliukataa wakihisi ni white elephant leo wanajileta wenyewe kutoa hela. You know why? Success yake kwemye revenue hawakuamini kama ingetokea.
Hawa wapumbavu wa kaskazini walifikiri ni nguvu ya soda kisa treni ni mpya kumbe bado demand inazidi kuongezeka. Na wasubiri ifike Mwanza ndio watajua hawajui.
Walete ya umeme,diesel au makaa ya mawe as long as iko faster and comfy poa tu. Google Ghan train ya Australia uione.
SGR ina grid yake yenyewe tapped from multiple sources. Juzi national grid ili collapse ndio ikaleta shida.Kaka ni Bongo tunaishi cursed AFRICA.
Usitegemee level ya performance iwe sawa na huko majuu.
Vichwa vilivyopo mbona vinatosha wakikomaa. Alafu walipaswa wasilisha habari kuwa kuna mizigo section ya bandari inatakiwa kuvutwa sawa, sio eti kupambana na kukwama kwama. Na unavyowajua maneno yao yalianzia vivuko vya KIGAMBONI vikapotea mazima AZAM yupo now.
Sasa ikiwa Vichwa vya Umeme wameshindwa manage tena Mchongoko safi kabisa. Unategemea nini kwao? Watakua kama UK?
Wapo wanawaza kuuza umeme nje na wanapata hitilafu ya umeme kule.
Why wasifanye SGR iwe na grid yake direct kutoka Source?
Mpaka LEO bado hatujajifunza kutengeneza umeme bila kuzimia watu?
Mwamba huyu hapa. Ameanza kazi kwa kishindo. Anaeleza taarifa za kununu treni za disel ni za uongo. Tanzania tulishatoka huko.
Msemaji wa Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania
View: https://x.com/MsigwaGerson/status/1867641220765467003?t=2z9rHjZL5ASDYH3zqtLGNw&s=19
Tunaendelea kuwa na uchumi imara
View: https://x.com/HabariLeo/status/1867447680311472598?t=1EGc4AquiEi42wZgNM7U1g&s=19
"HILI NALO MKALITAZAME"Issue tumefikaje huku na Kadogosa bado anaanmchwa?
Na Air Tanzania inakuwaje pamoja na uwekezaji mkubwa inaachwa kuingia kwenye EU list ya banned airlines? Management haikujua nn kinahitajika?
Tunaendelea kuwa na uchumi imara
View: https://x.com/HabariLeo/status/1867447680311472598?t=1EGc4AquiEi42wZgNM7U1g&s=19
Management mbovu Kadogosa alituahidi treni hazitakwama maana zitakuwa zina-store umeme! Kiko wapi? Sioni shirika likienda mbele likiwa chini yake!TRC, ATCL wajifunze kutoa taarifa ya vitu kama TAARIFA KWA UMMA ambayo imefafanuliwa kutoa mkanganyiko.
Iwe kama rejea kukiwa na taharuki.
SGR yetu ni ya kipekee na bado inaendelea kujengwa performance ilifanya wengi wavutiwe kuifinance, so hujuma haziwezi kosekana.
Kuna watu wanasubiri ipate majanga ndio wachonge mdomo.
So TRC wawe wa kwanza kutoa taarifa ya kitu chochote chao, vinginevyo imani kwao inaweza pungua.
Hata Train ikiwama nauli iwe refunded or kuahidiwa return tiketi ni uungwana kujenga imani kwa shirika na kutambua makosa yao wenyewe.
Hata wajinga wachonge haitoi watu kwenye mstari.
LIKE TAARIFA YA UMMA, KUOMBA MSAMAHA KWA WASAFIRI KUWARUDISHIA NAULI OR KUWAPA NAFASI YA kupata TIKETI ya Kurudi Bure.
Pia kuomba watanzania warudi.
Wawe wanaongea na TANESCO kila SIKU KUCHEKI NJIA ZA UMEME.
SGR yetu ni mradi mkubwa sana this AFRICA unaangaliwa na wengi maana kuna nchi hazina kabisa zinajiita uchumi mkubwa.
Let not give them excuse ya miradi yao ya hovyo.
Ooh thanks for clarifying.SGR ina grid yake yenyewe tapped from multiple sources. Juzi national grid ili collapse ndio ikaleta shida.
Sio PR ila management ni mbovu! Huwezi niambia walikuwa hawajui specifications ya locomotives wananunua maana walitueleza wenyewe!"HILI NALO MKALITAZAME"
Anasubiri kuonywa kwa "KALAMU".
LET BE HONEST MATATIZO MENGINE UNAHITAJI MKONO WA CHUMA. Maana kuendelea kubembeleza hasa Waafrika unaambulia mabua.
Ni PR blunder kubwa hapo.
Ndio, watulie sasa waone namna ya kuzitumia tunaweza fanya mengi sana.Slightly over 1bn USD per Month that is impressive.
Nilimaanisha wameharibu PR ya SGR yetu tuliyokua tunatamba nayo kwa ujinga.Sio PR ila management ni mbovu! Huwezi niambia walikuwa hawajui specifications ya locomotives wananunua maana walitueleza wenyewe!
Ndio maana nasema siasa zimekua nyingi maana inatia hasira, mbona hata financier wanaweza anza doubt kuhusu sustainability ya mradi.Management mbovu Kadogosa alituahidi treni hazitakwama maana zitakuwa zina-store umeme! Kiko wapi? Sioni shirika likienda mbele likiwa chini yake!
Kadogosa na genge lake walisema ikitokea umeme unakatika, vichwa vitabaki kuwa na uwezo wa kuendelea kutembea kwa masaa yasiyopungua mawili maana vina uwezo wa ku-store power! Kadogosa anatakiwa kujiuzulu na kushtakiwa kwa hili!Nilimaanisha wameharibu PR ya SGR yetu tuliyokua tunatamba nayo kwa ujinga.
Anyway mzee vichwa havina shida, shida ni wao hawadeal na tatizo (Hitilafu ya umeme, hujuma) ilitakiwa waje na mpango wa kudhibiti hivyo hata watangazie umma na wawe serious. Sidhani kama tatizo litaendelea.
Ifike muda wabadili management kule ufala umezidi.