RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 57,890
- 129,941
Huna lolote lile wewe nyang'au😎Mulijenga hizo ghorofa ndio mufiche hio uchafu iko nyuma ama? 🤣🤣
Mimi mwenyew najua hivyo.Lakini TRC will be using diesel locomotives for shunting purposes hilo linafahamika toka mwanzo. Hakuna fossil guzzler itakayopita mainline.
Hiyo ni old Dar and we are proud of it.Dar is a slum CBD nyuma ya zile ghrofa zao tatu. 🤣 🤣 🤣
![]()
![]()
When Kenya decided to do a diesel powered trains in our SGR wachawi walidhani sisi ni wajinga. Now see wameamua kurudi kwa diesel trains😆😆😆
View: https://x.com/Jasiri_Q/status/1867487147969646991
I’m bookmarking this.Hakuna diesel engines zitanunuliwa..
Mpka hapo nan ni mchawi?
Maisha mazuri ya kunyonyesha puppies na sex slavery 😮Eti utumwa?🤣🤣🤣 Wewe libaba lizee hao "watumwa" wanaishi maisha mazuri kuliko yako hapo Tandale and they have fat bank accounts. Lastly, they run numerous projects back home wakati wewe the only project you have ni kushinda hapa jf ukitusu watu. What a loser!!
Mlikuwa mnatucheka mkisena kila jengo refu tunajenga twin towers sasa hivi mnaruka?Twin tower Gani tuliwacheka nayo? The three blue towers kuna twin hata Moja?
Those are protected buildings.Dar is a slum CBD nyuma ya zile ghrofa zao tatu. 🤣 🤣 🤣
![]()
![]()
Na hivi Tz exports more to EA than what it imports. Keep on dreaming 😁As long as Ksh is steady against the dollar I don’t care. We will just come back to 20Ths to 1Ksh sooner.
Huoni ni usenge ujipe credibility ya mradi wa mwanzilishi full electric alafu baadae utuletee ngija ngija huku kuna vichwa LUKUKU vya UMEME.Hii sasa ndio maana halisi ya kubadili gear angani.
This bullish rally is supported by fundamentals unlike yours sanasana around February next year itafanya consolidation na kuendelea na bullish trend.This is just a normal rally, which creates an imbalance, lazima itarudi chini to find support then tujue if the trend is gradual.
Wamejaa kibao huku hata arusha na moshi barmaids kibao toka kenya.Wapo hadi wauza K. Nakumbuka niligongana na mmoja enzi hizo Maisha club.
Kaka ni Bongo tunaishi cursed AFRICA.Still sioni cha ajabu kuwa na diesel train. Mbona huko Ulaya kuna sehemu mpaka sasa zinatumika? I remember kuna moja UK ilikuwa faster kuliko baadhi ya train za umeme. Ni specs tu.
Tatizo mkisikia train ya diesel mnapata picha ile ya Kenya au Kigoma.