Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huku ndio kwenu, home grown-ups sio hiyo Scania assembled imported peaces, mkenya hajapata bado akili ya kutengeneza kitu cha maana bado mnaevolve

View attachment 3175925View attachment 3175926
Unaumia ukiwa wapi?

1734102404026.png
 
Hujaelewa, yeye alisema picha ya 2001 ila hilo gali chini kuna BBI, bila shaka BBI HANDSHAKE mnazijua ni za lini

Acha papara kitu hiyo safi
View attachment 3175945
Don’t just guess things. Nani amekuambia BBI automatically means handshake? That bus was there before handshake and the meaning of that BBI is “Beauty By Imagination “
 
Umesahau kuongeza wakenya kwenye Hilo kundi.
Wacha nilist kadhaa
1. Dar es Salaam Serena Hotel
2. Kirawira Serena Camp
3. Lake Manyara Serena Safari Lodge
4. Ngorongoro Serena Safari Lodge
5. Serena Mivumo River Lodge
6. Serengeti Serena Safari Lodge
7. Zanzibar Serena Hotel

Wacha waje na mapovu. 😂 😂
 
Don’t just guess things. Nani amekuambia BBI automatically means handshake? That bus was there before handshake and the meaning of that BBI is “Beauty By Imagination “
Acha kukwepa we mkunya.
Mbona unakataa gari from your own industries
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

Kazi kujipa umhimu kisa kastika ka kufunga nati kwenye mali za watu

1000206606.png
 

Hakuna washauri aisee, issue sio umeme bali issue ni wahujumu ni wengi, wangepambana nao, lkn pia wataalamu wa kuendesha mradi, ingefaa wangeajiri experts watufundishe kwa japo miaka 5 zen tuendelee tukiwa na ujuzi wa kutosha cz hii ni teknolojia mpya Africa, kuna wakati treni inasimama wanasingizia umeme kumbe kuna shida ya utaalamu, naijua Africa vzr, we have never been professionals at all, lkn najua kwnn wanataka kufanya hivyo, upigaji tu hakuna jipya, kadogosa hatoshi.
 
Tanzanians mainly do subsistence farming, large scale farming in Tanzania are done by foreigners Kenyans included.
Hivi wewe kiazi umeelewa swali nmekwambia taja mazao ya biashara Tanzania yanalimwa na hao foreigners
 
Ebu post hiyo source tuione. They's no way you can have more mobile transactions than Kenya buana. Hiyo hata unajua. Hapa Kenya some of us the last time tulishika hard money ni more than 5 years ago. This is a cashless economy. In fact our mobile transactions are more than those of East Africa and Southern Africa combined.
Sasa ndiyo ulete ushahidi ili ku dispute ya mwenzio, usiongee vitu sensitive bila kuwa na ushahidi wa kuaminika.
 
Haya Basi wale machawa njoo tusifie Kichwa kipya cha Diesel.

Wapumbavu sana, mmeshindwa manage SGR tu bado mnataka tuwape credibility ya mradi.

VIVUKO vimeenda,
MWENDOKASI HOI
SGR mnaenda imaliza, like seriously kuona moshi wa Diesel kwenye reli yetu ni ujinga mkubwa sana.

Umeme kukatika katika huku watu wanakata waya mnawachekea.
Upumbavu sanaaaa.
 
Watu wanapotosha sana au wanasoma vichwa vya habari tu...
Ishu ni kwamba kile kipande cha kutoka Banda la ngozi mpaka bandari hakitakuwa Electrified bali watatumia diesel locomotives mpaka hapo...hawataki mifumo ya umeme iingiliane na mfumo wa bandari.

Yaana ukiingia tiktok wakenya wamefurahi hicho kichwa cha habari kama vile nchi yao ndo imefungua SGR ya umeme...Roho Mbaya tu
Kwahiyo treni ya mzigo itakuwa diesel?
 
Back
Top Bottom