Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Do you agree that having a family is a great achievement the way game over is saying? I’m asking you be a I know you don’t have a family.

Now just give me your honest opinion.
Kuwa na family ni achievement pia kwa namna moja au nyingine, unajua katika haya maisha kila mtu ako na malengo yake na priorities zake. But after all we all need to have families, bibi yangu (my grandma) always ananisisitiza kujenga familia kubwa kwasababu she believes familia ni kitu kizuri na ni msaada baadae, hasa ukishakua umefikwa na uzee..

Mimi binafsi bado sijaoa lakini ninae mtoto wangu and she’s 3 years old. unaweza muona kwa display picture hapo.

Xie xie.
 
Dafu linashuka kwa kasi

1734081690389.png
 
Kuwa na family ni achievement pia kwa namna moja au nyingine, unajua katika haya maisha kila mtu ako na malengo yake na priorities zake.
Kuwa na family is not an outstanding achievement since everybody is capable of having one. For me I see having a family as a rite of passage where everyone has to pass through unless you want to practice celibacy.
Mimi binafsi bado sijaoa lakini ninae mtoto wangu and she’s 3 years old. unaweza muona kwa display picture hapo.
Wewe mbona usioe kama marriage is an achievement?😂😂
 
Back
Top Bottom