Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

ChoiceVariable tuendelee kusifia? au

yani reli ya umeme imetushinda kusimamia kabisa aloooo RIP magufuli

IMG_2105.jpeg
 
I hope upo sawa, kama ni hivyo why wasingejitokeza kukanusha na kusema hivyo.

Ukizingatia VIVUKO na MWENDOKASI wameshindwa mpaka wanawaza wawekezaji.

Taarifa kama hizo zinaleta ukakasi.

Wajitokeze kukana.
Labda hiz ni habari mpya..au walikuwa wameficha? Bajeti ilipitishwa wap na lini?
Nani aliwashauri hivyo? Bunge limelidhia?
Kama ni kweli basi hii serikali ya Mama samia ni failed government ever...mwakani watupishe....naamini bado CCM kuna watu wana akili na uzalendo mwakani watafanya kitu.

Na Mwendokasi disemba ni hii...nayasubiri hayo mabasi mapya yanayotumia cnv.
Maana wamekuwa watu wakusema uongo...uongo unashusha heshima zote....watz sio wajinga
 
Upumbavu sanaaaa.
Tatizo la kuleta siasa kwenye vitu vya maana, imagine unapanga kuipeleka DRC alafu ndio kwanza ufala mwingi.

Sitashangaa diesel ikiletwa ikaanza kufanya kazi kuliko electric watu wapate percent za Mafuta.

Matatizo ya kukwama kwama yashasemwa ni hitilafu ya umeme na wezi, why wasifocus kutatua hapo?
 
Hiki ni nn bro 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂 Huwezi amini ndio ipo mpaka kwenye bendera yao ya Rais na history yake ni kuzoa takataka kazi mashinani 😅😅😅 Rais mwenye mindset ya mkokoteni wakati wengine wapo space unaeza jionea how deep Kunyaland is fuked up, apparently ndio kitu wanaweza kuunda 😂😂

images (15).jpeg
 
Remitances, hahaha .
It’s such a shame to talk about remitances infront of of a fully grown, Intelligent, fetching African creature like me the Game Over.
Yaani unaongelea hela zinazotumwa na wadada wakunya wanaofanya kazi za ndani Saudi Arabia ? Are you really proud of that ?
The last time I checked Kenyan house maids went further to even breastfeeding puppies in Saudi Arabia ,
I really condemn this , mankind should never commit to lifetime servitude just for poverty, sending money home and the politicians like Uhuru Kenyatta and William Ruto term them remittences.
Kwa idhini yako mwenyekiti wa hili Jukwaa ichoboy01 , naomba mtu akileta neno Remittance humu afungiwe kabisa . Ni fedheha kubwa kabisa kwa Waafrica. Utumwa ulikomeshwa tangu mwishoni mwa Karne ya 18, na sisi kama Watanzania miaka ya 1940 tukiamua kabisa na tulichagua umasikini dhidi ya utumwa.
Na ndio maana hadi sasa tunaongoza kwa kila kitu hapa Africa Mashariki.
Ni kweli kabisa! Airport nyingi Uarabuni wasafisha vyoo na wazibua makimba ni Nyang'au.
 
Back
Top Bottom