instanbul
JF-Expert Member
- Jun 26, 2016
- 12,544
- 19,491
Watu wanapotosha sana au wanasoma vichwa vya habari tu...Unajua maana ya 'BACK UP' ? Walipanga siku nyingi kununuan za diesel hasa za mizigo. Bahati nzuri reli yetu unaweza kutumia hata treni ya diesel, yenu hamuwezi kutumia ya umeme. Endelea kuumia.
Ishu ni kwamba kile kipande cha kutoka Banda la ngozi mpaka bandari hakitakuwa Electrified bali watatumia diesel locomotives mpaka hapo...hawataki mifumo ya umeme iingiliane na mfumo wa bandari.
Yaana ukiingia tiktok wakenya wamefurahi hicho kichwa cha habari kama vile nchi yao ndo imefungua SGR ya umeme...Roho Mbaya tu