Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hakuna anaependa sifa za Kijinga, ni ukweli tu!
We don't have anything in common na wananchi wa Namibia, Angola, Mozambique, Zimbabwe lakini huu ndio ukweli.

Bro, hosting people in your country ni kitu cha kawaida sana. Hapa Kenya tumewai host serikali ya Somalia hadi shughuli zao za serikali zilikuwa zinafanyika Nairobi. Tulihost wapiganaji wa Sudan Kusini wakipigania Uhuru kutoka Sudan na hadi sahii familia ya John Garang na Salva Kiir wanaishi Nairobi, Raisi wa kwanza mwanamke Afrika Ellen Sirleaf tumemhost humu akaishi miaka mingi. Tuna the largest refugee population in Africa wanakaa humu ila hamtoskia kila siku tukijigamba eti hoo sisi ndio baba wa hawa ama wale maanake tunaelewa ni kitu cha kawaida sana.
 
ARE you sure Kg haina tarmac road?
Sehemu kidogo ya kigamboni ina lami ila the southern 628 sq.km hamna lami.
Hii sehemu niliyohighlight yote hamna barabara ya lami hata moja. Kama ipo nioneshe.
Screenshot 2024-11-19 185145.png
 
Wacha upumbavu wewe 😂😂😂 cyprus ni kataifa kadogo the size of Arusha region, and it is not developed like Tanzania, small population 1.2 million people, 9k square km land size, their capital city resembles Mombasa old town. Very poor country, with the gdp of $32 billion. Una mwambie mwenzako anashindwa simple google search while wew ndio mpumbavu mmoja kabisa. 😂😂😂

Haya kunywa maji ukalele kenge hii.
Sasa kati yangu na wewe nani mjinga hapa?

Unasema kwamba Cyprus ni nchi masikini with a population of just 1.2 million people yet Iko na GDP ya $32. Do you realize that this is a half of your country's GDP with a population of 60 million people (5 times that of Cyprus) and almost 20 times in size?!!

You call a country of 1.2 million people with a GDP of $32b poor? Are you insane? Do you know what that translates to in terms of GDP per capita which is what used in calculating poverty rates? Watanganyika kujifanya wajuaji wakati hakuna wanachoelewa
 
Bro, hosting people in your country ni kitu cha kawaida sana. Hapa Kenya tumewai host serikali ya Somalia hadi shughuli zao za serikali zilikuwa zinafanyika Nairobi. Tulihost wapiganaji wa Sudan Kusini wakipigania Uhuru kutoka Sudan na hadi sahii familia ya John Garang na Salva Kiir wanaishi Nairobi, Raisi wa kwanza mwanamke Afrika Ellen Sirleaf tumemhost humu akaishi miaka mingi. Tuna the largest refugee population in Africa wanakaa humu ila hamtoskia kila siku tukijigamba eti hoo sisi ndio baba wa hawa ama wale maanake tunaelewa ni kitu cha kawaida sana.
You've forgotten to remind him that we even host their beggars on our streets too na hatupigi kelele
 
Sasa kati yangu na wewe nani mjinga hapa?

Unasema kwamba Cyprus ni nchi masikini with a population of just 1.2 million people yet Iko na GDP ya $32. Do you realize that this is a half of your country's GDP with a population of 60 million people (5 times that of Cyprus) and almost 20 times in size?!!

You call a country of 1.2 million people with a GDP of $32b poor? Are you insane? Do you know what that translates to in terms of GDP per capita which is what used in calculating poverty rates? Watanganyika kujifanya wajuaji wakati hakuna wanachoelewa
Huyo hakunanga kitu anajua ila yee hutaka kucontribute mijadala yote.
 
Sasa kati yangu na wewe nani mjinga hapa?

Unasema kwamba Cyprus ni nchi masikini with a population of just 1.2 million people yet Iko na GDP ya $32. Do you realize that this is a half of your country's GDP with a population of 60 million people (5 times that of Cyprus) and almost 20 times in size?!!

You call a country of 1.2 million people with a GDP of $32b poor? Are you insane? Do you know what that translates to in terms of GDP per capita which is what used in calculating poverty rates? Watanganyika kujifanya wajuaji wakati hakuna wanachoelewa
Sasa wewe ni mpumbavu exra 😂😂😂

Ulitegemeaje kataifa na pesa kiduchu hiyo kiweze kujenga reli ya umeme 3000 km like we do .? 😂😂😂 unakiitaje kitaifa hiko ni more developed than Tz while infact there’s no modern transport infrastructures.? Au according to kenyan standards juu hakuna electric rail, it’s okay.? 😂😂😂 zezeta wewe
 
Bro, hosting people in your country ni kitu cha kawaida sana. Hapa Kenya tumewai host serikali ya Somalia hadi shughuli zao za serikali zilikuwa zinafanyika Nairobi. Tulihost wapiganaji wa Sudan Kusini wakipigania Uhuru kutoka Sudan na hadi sahii familia ya John Garang na Salva Kiir wanaishi Nairobi, Raisi wa kwanza mwanamke Afrika Ellen Sirleaf tumemhost humu akaishi miaka mingi. Tuna the largest refugee population in Africa wanakaa humu ila hamtoskia kila siku tukijigamba eti hoo sisi ndio baba wa hawa ama wale maanake tunaelewa ni kitu cha kawaida sana.
Kuna tofauti wewe mpumbavu! Wapiganaji wa South Sudan walukuwapo Uganda pia na mwanzilishi wa SPLA, John Garang ni moja ya watu tuliosomesha tangu secondary to University hapo Dar na kumtrain pia.

Sisi hatukuhost, bali tuliongoza mapigano ya uhuru wa nchi za Africa na makao makuu ya majeshi na headquaters zote zilikuwa hapa chini na central command ya mapigano yote, African Liberation Commettee chini ya Gen Hashim Mbita.

The New York Times
Oct. 17, 1965
"DAR ES SALAAM, Tanzania -- Tanzania's role as the haven of African liberation movements appears to be drawing her into a web of intrigue and political hysteria that has aroused deep suspicions, even among her friendly neighbors to the north."
 
Kuna tofauti wewe mpumbavu! Wapiganaji wa South Sudan walukuwapo Uganda pia na mwanzilishi wa SPLA, John Garang ni moja ya watu tuliosomesha tangu secondary to University hapo Dar na kumtrain pia.

Sisi hatukuhost, bali tuliongoza mapigano ya uhuru wa nchi za Africa na makao makuu ya majeshi na headquaters zote zilikuwa hapa chini ya central command ya mapigano yote, African Liberation Commettee chini ya Gen Hashim Mbita.

The New York Times
Oct. 17, 1965
"DAR ES SALAAM, Tanzania -- Tanzania's role as the haven of African liberation movements appears to be drawing her into a web of intrigue and political hysteria that has aroused deep suspicions, even among her friendly neighbors to the north."
Usisumbuke na hawa watoto wa juzi. Ni wa kuwahurumia tu😁
 
Back
Top Bottom