Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


Hapana Icho usiingie mkenge wa hawa wapotoshaji. Hii ajali ilitokea kitambo sana. Kama sio mwaka jana ni mwaka juzi huko...ilitokea maeneo ya mbezi kwa Yúsuf kama sikosei... kipindi kile BRT buses zinaenda kibaha.
Hakuna ajali kama hiyo iliyotokea recently huyo mtoa post ni mpotoshaji
 
Hapana Icho usiingie mkenge wa hawa wapotoshaji. Hii ajali ilitokea kitambo sana. Kama sio mwaka jana ni mwaka juzi huko...ilitokea maeneo ya mbezi kwa Yúsuf kama sikosei... kipindi kile BRT buses zinaenda kibaha.
Hakuna ajali kama hiyo iliyotokea recently huyo mtoa post ni mpotoshaji
Huyo jamaa nowadays kawa kama wakunya, kupost vitu bila kuverify.
Just because unachukia awamu iliyopo madarakani haina maana ndo upost upotoshaji.
 
Image
Ndo hivi vibarabara enzi zile mlikuwa mnajiongopea kwamba mmeendelea kuliko Tanzania na ndiyo maana unakarudia rudia 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mnapenda sifa za ujinga wakati ukienda Africa kusini hata hawawatambui.
Kwani unavyokuwa unasema hivi huwa unamaanisha nn, kwamba Tanzania haijulikani SA au watanzania hawajulikani SA? Mbona una chuki za kitoto sn, huwa unaona kabisa rais wa Tanzania akienda kule jinsi anavyopewa umuhimu wa kipekee na bado hutaki kukubali, mpaka rais wa SA huwa anawakumbusha raia wake umuhimu wa Tz lkn bado hutaki, watz kule wanaingia bila visa kitambo sanaa na bado hutaki, wasauzi wanaisoma Tz kwenye vitabu vyao na wanaambiwa umuhimu wa Tz juu ya Uhuru wao na bado hutaki, basi wewe ni mwehu.
 
Eti jiji kubwa na tajiri mapato kiduchu mambo hayaendani na uhalisia mwishowe mtapika vitu ambavyo havipikiki 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom