Using something doesn't mean you understand it. What do you know about transportation engineering? Sasa ukiita expressway dual carriageway wakati expressway lazima iwe dual carriageway utasema unaelewa nini kuhusu expressway? Do you even know what makes a road an expressway? Ungekuwa unaelewa ungeelewa nilichosema.
Pili..
Kama hicho kichochoro hakina magari kisa wanakikwepa sasa hivi vyenu tutasemaje maanake havina magari zaidi. Yani ukihesabu gari moja kwa hiki kidaraja chenu utahesabu kumi kwa Nairobi Expressway halafu bado mpo busy mnajifariji kwa vicheko bandia.