ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,426
- 85,254
Umefuatilia hiyo issue au kama kawaida yako unaleta upumbavu wewe mama.? 😂😂😂Ambieni Diamond Kuna kitu kinaitwa protocol awache kulialia. Tukija huko kwenu tunafuata Sheria na itifaki zenu. Hatufanyi vitu kiubabeubabe kama tunavyotaka.
Unasema? You serious na hii?Weka picha uwache ufala. Kama hii hapa pikipiki moja. Mmeshindwa kulipa toll? Kama daraja mnashindwa sasa mkipewa expressway ya KM 27 mtaweza. 😂
![]()
Weka picha uwache ufala. Kama hii hapa pikipiki moja. Mmeshindwa kulipa toll? Kama daraja mnashindwa sasa mkipewa expressway ya KM 27 mtaweza. 😂
![]()
Wajinga sana na daraja wamerudisha asilimia nyingi ya fedha yao imebaki kidogo tu toll ziondolewa alafu kuna huyo anatuletea eti piki piki moja?Wewe kichaa? Sasa hivi ukienda Kigamboni lazima upite hio toll bridge na gari. Sasa unataka kusema wakazi wa Kg hawatoki huko? Kuna traffic kali sana hapo during peak hours.
Matajiri. Alafu mnategemea mchina akabidhi baada ya miaka 30 kwa gari mbili tatu juu.
Wanajiita matajiri bob kadhaa zinawashinda.
View: https://vm.tiktok.com/ZMk8MHKSN/ This post is shared via TikTok Lite. Download TikTok Lite to enjoy more posts: TikTok Lite - Save Data & Fast - Apps on Google Play
Uliambiwa na nani? Magufuli alijenga Barabara zipi alipokuwa Rais? Si nilikuwa nawaambia humu jf kwamba mikoa aliyopokea Kwa JK.ikiwa haijaunganishwa amekufa na kuacha haijaunganishwa.2020 mtandao wa barabara ulikua 12k + tena leo 2024 mnatuambia same issue tuseme miaka minne hakuna barabara zimejengwa zikakamilika???
Picha yao imeonesha Kuwa wengi opt not to use expressway.Wajinga sana na daraja wamerudisha asilimia nyingi ya fedha yao imebaki kidogo tu toll ziondolewa alafu kuna huyo anatuletea eti piki piki moja?
Unaona kabisa kila kukicha expressway ina gari tano licha ya kuwa mjini kabisa. Chini mrundiko.
Huyo jamaa ni pimbi lile aina ya wale mapumbavu yanayoichukia Tz bila sababu za msingi. 😂😂😂 eti limeenda kutafuta picha ya boda moja then linakwambia eti hapo hakuna traffic ya gari tano.. si ni uzuzu huo. A place like kigamboni .? Sehemu iko na population like 300k+.. jamaa nilipumbavu kweli.Wewe kichaa? Sasa hivi ukienda Kigamboni lazima upite hio toll bridge na gari. Sasa unataka kusema wakazi wa Kg hawatoki huko? Kuna traffic kali sana hapo during peak hours.
ww ni kondoo kweli 😂😂😂😂😂Uliambiwa na nani? Magufuli alijenga Barabara zipi alipokuwa Rais? Si nilikuwa nawaambia humu jf kwamba mikoa aliyopokea Kwa JK.ikiwa haijaunganishwa amekufa na kuacha haijaunganishwa.
SGR ni hasara Kwa Nchi,ni akili za hivyo tuu ndio atatumia Trilioni 13 kujenga sgr km 700 na miundombinu yake badala ya kujenga km zaidi ya 8,000 za lami.
Weka takwimu Wacha ujinga,hata ukiingia TanRoads hakuna hiyo network.ww ni kondoo kweli 😂😂😂😂😂
2020 barabara ambazo tanzania zilikua na lami zilikua 12k + leo 2024 unatuambia tena ni 12k
sasa tuambie hzo barabara zilizojengwa mpaka sasa hazijakamilika au