Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huyo jamaa ni pimbi lile aina ya wale mapumbavu yanayoichukia Tz bila sababu za msingi. 😂😂😂 eti limeenda kutafuta picha ya boda moja then linakwambia eti hapo hakuna traffic ya gari tano.. si ni uzuzu huo. A place like kigamboni .? Sehemu iko na population like 300k+.. jamaa nilipumbavu kweli.
Kigamboni inakaribia 1m people. Wakazi.
 
Unaishi kwenye Utopia or something nyie jamaa mna KENYA yenu maalumu ambayo hatuji ilipo.

You are too poor mpaka mnakimbia na ugali in time of distress, you are too poor mpaka mnawekewa ruzuku ya unga wa ugali ambao ni bob kadhaa.

You are too poor kiasi kwamba roli hata ya soda za jero bongo ikianguka mnafakamia.

You are too poor kutumia Chai Maharage karne ya 2024 CBD.

GDP ya nyoko 80% ni madeni kinachobaki hata sisi tukilipa madeni surplus ipo juu same na Per Capita yenu, 80% ya Per Capita ni deni mnabaki na bob kadhaa.

Middle class ya kusubiri affordable housing ndio middle class gani au middle finger?

20 FLOOR ndio utajiri? Ukichaa huu.

Tukichukua pesa ya mradi mmoja bongo tunaweza watengenezea city mpya huko Ukunyani.
Bongolala, hizi vitu haziitaji hasira na emotions. Hapa tunatumia facts, feelings ubaweza pelekea watu wa ukoo wako.

Naona umedwel sana hapo Kwa umasikini. Lazima mwiba ilikukngia ipasavyo. The fact is, Tanzania has the highest poverty rate kn the region. Coming here to rant na kutoa povu haitabadilisha huo ukweli. Data ipo na WB for all to see.

Eti per capita ni deni? 🤣🤣🤣. Hivi, unajua hata per capita ni nini and how it's calculated? Hii ndio ujinga ya kutaka kuonekana uko informed when in real sense hujui unachosena.

Secondly, it's also true that our middle-class is the biggest in the region. These are facts you can't change. Affordable housing zinajengwa Kwa ajili ya wakenya who can afford to buy them, not for any specific class of people. In any case it's true zinajengewa middle-class, then you've just proven my point right coz anybody who can cough up Ksh5 million upwards to buy a house fits the description of a middle-class. If these houses are selling all over Kenya, then why are you disputing our middle-class figures?

Where did I say that 20 floor buildings ni utajiri? Unaona sasa shida ya kucomment with a lot of emotions ? I mentioned that coz kilaza mwenzako alitajacswala la real estate and quoted a 2017 figure which put Dar's real estate value ahead of Nairobi's. Ndio nikwambia those have been overtaken by events that's why I asked him to show us any serious real estate projects going on in Dar in comparison to Westlands alone in Nairobi.

Wewe kilaza you should learn to leave emotions out of these discussions and start engaging your brain and using facts. At this rate, you'll run mad!!
 
Wewe kichaa? Sasa hivi ukienda Kigamboni lazima upite hio toll bridge na gari. Sasa unataka kusema wakazi wa Kg hawatoki huko? Kuna traffic kali sana hapo during peak hours.
Mwenzako akipost picha ya expressway hakujua kuna peak hours na non-peak hours? Hakujua expressway haina msongamano kisa ni EXPRESSWAY - yani barabara isiyo na direct intersections? Hilo jibu nimempa ili ajifunze kufikiria. Yani kila siku mnapost humu picha za expressway mkisema haina magari wakati barabara zenu majority ni empty.
 
Unasema? You serious na hii?
Yani hakuna siku nishawai ona hii bridge ikiwa na magari mengi kushinda expressway ya Nairobi alfu mpo humu mnajifanya kushangaa eti expressway haina magari.

nssf-pic.jpg
 
Mwenzako akipost picha ya expressway hakujua kuna peak hours na non-peak hours? Hakujua expressway haina msongamano kisa ni EXPRESSWAY - yani barabara isiyo na direct intersections? Hilo jibu nimempa ili ajifunze kufikiria. Yani kila siku mnapost humu picha za expressway mkisema haina magari wakati barabara zenu majority ni empty.
Picha ya chini ya expressway inaonesha ni peak hours. Au labda hio foleni ya chini ni 24hrs.
 
Weka takwimu Wacha ujinga,hata ukiingia TanRoads hakuna hiyo network.

Kwa Barbara zipi alizojenga Mwendazake Hadi tuwe na hiyo figures?
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

reje post za 2020 to 2021 ushahidi upo kila kiti ndio maana swali langu ni toka 2021 mpaka leo hakuna barabara zimekamilika sizungumzii bara za tarura sijui za km 2 sijui 3 nazungumzia barabara za tanroad
 
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

reje post za 2020 to 2021 ushahidi upo kila kiti ndio maana swali langu ni toka 2021 mpaka leo hakuna barabara zimekamilika sizungumzii bara za tarura sijui za km 2 sijui 3 nazungumzia barabara za tanroad
Weka hapa huo ushahidi wacha maneno ya kijinga kijinga
 
Aishi asiishi ina faida gani kwangu wewe Geuza udinywe?
Halafu there were no boers in Namibia. Namibia was colonized by Germany. Kawaida masomo ya Bongolala ni ya ovyo. 🚮 🚮
You are very stupid!
Nambia ilikuwa kama moja ya province za South Africa kipindi chote cha Apartheid na ndio walioijenga.

Cities: Windhoek, Swakopmund, Walvis Bay, Keetmanshoop, Luderitz. Hi miji yote na mengine mingi ni majina ya Kiafricans cha Boers. Wanamibia karibia wote wanaongea Kiafricans kwa kuwa, eneo lao walikubali mitaala ya elimu uendeshwa kwa lugha ya Afrikaans wakati vijana South Africa walikataa na ndio machafuko ya Soweto Uprising na vijana wengi kuuawa na kujengwa kwa Somafso in Tanzania, settlement yenye shule, nyumba za makazi, hospitals kwaajili ya vijana wadogo waliokuwa wakikimbia huko.
 
Picha yao imeonesha Kuwa wengi opt not to use expressway.
It is an expressway..................No junctions hence no jam. Kama unaelewa transportation engineering utaelewa. Expressway inaweza pitisha magari mengi ila hayatasongamana. Shida yenu ni akili ndogo. Hapo kwenu barabara kama zote ni empty.
 
Yani hakuna siku nishawai ona hii bridge ikiwa na magari mengi kushinda expressway ya Nairobi alfu mpo humu mnajifanya kushangaa eti expressway haina magari.

nssf-pic.jpg
Currently that's the only access to Kg for motorists. So let's conclude Kg residents don't own cars.
 
Currently that's the only access to Kg for motorists. So let's conclude Kg residents don't own cars.
They don't apparently. Very low traffic for a bridge that everyone uses. Anyway, that area is extremely underdeveloped. 628 sq.km of no tarmac road is no joke. That's about the size of Nairobi county with no tarmac.

Screenshot 2024-11-19 185145.png
 
It is an expressway..................No junctions hence no jam. Kama unaelewa transportation engineering utaelewa. Expressway inaweza pitisha magari mengi ila hayatasongamana. Shida yenu ni akili ndogo. Hapo kwenu barabara kama zote ni empty.
Acha blah blah. Some motorways in Europe are clogged. Now that 20plus km A road ndio kamalize foleni. Nairobi motorists shun that expensive for nothing toll road.
 
You are very stupid!
Nambia ilikuwa kama moja ya province za South Africa kipindi chote cha Apartheid na ndio walioijenga.

Cities: Windhoek, Swakopmund, Walvis Bay, Keetmanshoop, Luderitz. Hi miji yote na mengine mingi ni majina ya Kiafricans cha Boers. Wanamibia karibia wote wanaongea Kiafricans kwa kuwa, eneo lao walikubali mitaala ya elimu uendeshwa kwa lugha ya Afrikaans wakati vijana South Africa walikataa na ndio machafuko ya Soweto Uprising na vijana wengi kuuawa na kujengwa kwa Somafso in Tanzania, settlement yenye shule, nyumba za makazi, hospitals kwaajili ya vijana wadogo waliokuwa wakikimbia huko.
Mnapenda sifa za ujinga wakati ukienda Africa kusini hata hawawatambui.
 
Back
Top Bottom