Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,888
- 103,753
Hapana banaaa… hapa vijeba vya utopolo vimeupiga mwingi! 🤩🤩🤩vp hatumsifii mama tena 😂😂😂 maana ingeshinda ungeskia mama anaupigwa mwingi
Hapana banaaa… hapa vijeba vya utopolo vimeupiga mwingi! 🤩🤩🤩vp hatumsifii mama tena 😂😂😂 maana ingeshinda ungeskia mama anaupigwa mwingi
Mafans walikataa wakasema wanamtaka Willy Paul. Mafans ndio kusema
View: https://vm.tiktok.com/ZMk82N1gS/
munageuka sasa 😂😂😂😂😂Hapana banana… hapa vijeba vya utopolo vimeupiga mwingi! 🤩🤩🤩
Siasa na mpira ni vitu viwili tofauti! 🙌🙌munageuka sasa 😂😂😂😂😂
Inaingia kama kawaidakwan hio 300m usd sio mkopo au haliingii kwenye deni la over 20b usd in just good 3 yrs 😂😂😂😂😂😂
Sasa huyo willy Paulo mwenyewe amekiri kwamba Dmond ni msanii mkubwa duniani na ndiyo anajifunza kupitia yeye.Lile jamaa pumbavu. Kama kawaida yake. 😂😂😂
Naseeb ilibidi apande ndio kisha Willy afuatie, uoga wa msanii wenu baada ya kupanda Chibu angekosa mashabiki juu after platnumz show, nani angebaki kumuona willee.? Kwa mziki upi.? 😂😂😂 willee is clever akasema Nop, nataka nipande mimi kwanza, that’s the reason alipigwa with your fellow kenyans. 😂😂😂
Will Paul amebondwa na wakenya wenzake na amelia kweli baada ya kuona wasanii wa Tanzania wanapewa kipaumbele.
Anatafuta kick. Diamond Kasepa bila ku perform 🤣 🤣 🤣 👇 👇 👇 Mwanaume Analia
View: https://youtu.be/M7D5AzeSCco?si=jFD4vLXksUCDlCgJ
Mafans walikataa wakasema wanamtaka Willy Paul. Mafans ndio kusema
View: https://vm.tiktok.com/ZMk82N1gS/
Msikize Etana alivyoongea. Etana sii Mkenya ni Mjamaica. Wasanii wenu Wana dharau na soon watakiona. Mchezo ushaanza.Wanatumia pesa nyingine sana kutuhumiliate!! Ukishalipia, hakunaga kuwa humiliated!!!
Matajiri. Alafu mnategemea mchina akabidhi baada ya miaka 30 kwa gari mbili tatu juu.
Wanajiita matajiri bob kadhaa zinawashinda.
View: https://vm.tiktok.com/ZMk8MHKSN/ This post is shared via TikTok Lite. Download TikTok Lite to enjoy more posts: TikTok Lite - Save Data & Fast - Apps on Google Play
Unaishi kwenye Utopia or something nyie jamaa mna KENYA yenu maalumu ambayo hatuji ilipo.Kenyans are poor than Tanzanians yet you can't prove anything. On the other hand, I can prove that Tanzania has the highest poverty rate in the region. Ukitaka ushahidi sema nilete.
DGP per Capita is calculated by the world bank and it's available on their website free of charge. Hizi povu zako won't change anything.
Can you prove that Kenya is behind Tanzania as far as literary levels are concerned? Again, I can prove to you that illiteracy levels in Tanzania are way ahead of Kenya's.
Real paved road ndio nini? If you can't even pave roads in your 'high-end' estates in Dar like Mbezi bado uko na nguvu ya kuongea about paved roads?
You shouldn't even be proud of Tanzania selling electricity to Kenya. On the contrary, unafaa uhuzunike. Mbona uuze stima wakati hata wewe ujatosheleza mahitaji yako ya ndani huku trenj ikikwama kila siku kutokana na upungufu wa stima? Cha pili nchi unayouzia stima pia inakuzidi in both generation and consumption of electricity. Huoni huo ni ukilaza na upumbavu?
Middle-class yetu ni kubwa kushinda nchi zote ukanda huu. Najua inauma ila peleka malalamishi WB.
About real estate, Wacha kutuletea data ambazo zimepitwa na wakati. We're in 2024, not 2017. Do you know how many buildings above 20 floors are under construction (or in launching phase) in Westlands alone? They are close to 20. Wewe niambie ni majumba mangapi above 20 floors are under construction in Dar nzima kama utapata hata tano tu. Now, that should tell you the current real estate situation between these two cities. They are just worlds apart. Wewe endelea kujifariji na figures za 2017!!
Ndio maana huulizi.Nina uhakika nikikuuliza unionyeshe Barabara Moja tu Bongo yanye traffic nyingi kuliko hiyo ya expressway hutonionyesha.
Eti gari tano ndio traffic ya kuulizia uuoneshwe are you crazy?Nina uhakika nikikuuliza unionyeshe Barabara Moja tu Bongo yanye traffic nyingi kuliko hiyo ya expressway hutonionyesha.
Matajiri. Alafu mnategemea mchina akabidhi baada ya miaka 30 kwa gari mbili tatu juu.
Wanajiita matajiri bob kadhaa zinawashinda.
View: https://vm.tiktok.com/ZMk8MHKSN/ This post is shared via TikTok Lite. Download TikTok Lite to enjoy more posts: TikTok Lite - Save Data & Fast - Apps on Google Play
Msikize Etana alivyoongea. Etana sii Mkenya ni Mjamaica. Wasanii wenu Wana dharau na soon watakiona. Mchezo ushaanza.
View: https://youtu.be/jdAUfzQvfaU?si=7GeBumZIdvAKxCgw
Msikize Etana alivyoongea. Etana sii Mkenya ni Mjamaica. Wasanii wenu Wana dharau na soon watakiona. Mchezo ushaanza.
View: https://youtu.be/jdAUfzQvfaU?si=7GeBumZIdvAKxCgw