Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kuna uhuni Mkubwa unaendelea pale...ni suala la muda mambo yatakuwa wazi tu.
Magufuli alikuwa sahihi sana na wala hakuwa mjinga kila baada ya miezi miwili yuko pale bandarini tena anaenda kimya kimya bila taarifa.
Tungebaki na plan zetu tukiiboresha mdogo mdogo....

Tukiendelea hiv itafika 2050 bado tuko hapahapa na kaGDP ketu... bila kuwa na watu serious kufuatilia huu uhuni unaoendelea pale.
Rostam Leo kaongea jambo Moja serious sana. Hakuna nchi imewai kukuwa kiuchumi kwa kutegemea wawekezaji kutoka nje ya nchi. Jamaa katoa point tatu muhimu.
 
Kuna uhuni Mkubwa unaendelea pale...ni suala la muda mambo yatakuwa wazi tu.
Magufuli alikuwa sahihi sana na wala hakuwa mjinga kila baada ya miezi miwili yuko pale bandarini tena anaenda kimya kimya bila taarifa.
Tungebaki na plan zetu tukiiboresha mdogo mdogo....

Tukiendelea hiv itafika 2050 bado tuko hapahapa na kaGDP ketu... bila kuwa na watu serious kufuatilia huu uhuni unaoendelea pale.
Ivi kwanza pale kunauwekezaji upi wa mitambo mipya wameweka? Bado wanatumia mitambo ya tics na ya serikali tuyonunua imesogezwa upande wao... Kiufupi wameleta crain chache za kupanga mizigo sio kupakua kwenye meli.
 
Sio kwamba yuko fair mkuu bali FDI zimekauka huko dollar hamna madeni luluki economy in the doldrums moja haikai mbili haikai wanalazimika kukubaliana na mziki wa Tz angalau wapate chochote kitu.
namaanisha ukilinganisha na predecessors!
 
Ivi kwanza pale kunauwekezaji upi wa mitambo mipya wameweka? Bado wanatumia mitambo ya tics na ya serikali tuyonunua imesogezwa upande wao... Kiufupi wameleta crain chache za kupanga mizigo sio kupakua kwenye meli.
Ule uhuni uliokuwa unafanywa na escrow Richmond na matepeli wengine Kwa Sasa ufanywa na DP world
 
Mambo ya kizamani haya achana nayo ushazeeka wewe, kwani unadhani ni sifa kuwa hujui mambo? Ni ujinga watchman wewe.
Nini ya kizamani hapo bongolala? The fact that you know our entire cabinet and all the 47 governors and their deputies as well as as spouses ama?
 
Ujue au usijue hizo ni shida zako...

Namjua Murkomen ndio mshika hela wa Husler in chief mzee wa sugoi baada ya kupiga za barabara na kukarabati hewa Airport akaamua kuwauzia Adani kabisa...

Sasa yupo kupiga hela za viwanja vya mpira... Hakuna atakachofanikisha huyo... Kazi yake ni ku zingatia maokoto yaende kwa boss kubwa!
Hongera bongolala for following Kenyan news and affairs holistically. Inashangaza sana how well versed Tanzanians are about Kenyan government. Sisi hata mawaziri wenu hatuwajui. Yani hatupotezi muda kufatilja masuala yenu
 
Anafikiri kutokujua jambo ndo ujanja kumbe ni ujinga na ushamba.
Kama unaona ni ujinga hebu nitajie jina ya waziri ya michezo wa Uganda na Rwanda kama unawajua jinsi ujuavyo Murkomen wetu (without Googling)
 
Hiv kenyans walisema kilimani is the most coolest nini in Africa?

Kilimani Nairobi 2024. Na hii ni main road kuelekea Kawangware slum nyuma tu ya Kilimani... Inaitwa argwings Kodhek road. Just after Yaya centre karibu kilimani primary school.View attachment 3169730
this not argwins khodhek road, this chania avenue off Wood Avenue. Argwins khodhek Hakuna Mahali iko na kabro, it's all termac..... Wacha ujuaji mwingi na Hakuna kitu unelewa we mshamba. Alafu hio lane imeharibiwa na heavy construction tippers juu the whole area is a construction site.
 

Endelea Kuota hapo unathani Kisumu int. airport ni hizo airport kibanda za Tanzania. Kisumu is a 24/hour airport with a lit runway 👇🏾
1733449721497~2.jpg
 
Wapishi wa data wako kazini 🤣🤣🤣
Miaka 6 mpaka June 2023 SHR Kenya carried 10.3m pax leo hii a year later eti pax imeongezeka mpaka over 14m which means ndani ya one year alone from 2023 mpaka 2024 SGR imebeba almost 50% ya pax wote tangu safari zilipoanzishwa 🤣🤣🤣
Wakati mwingine mtumie akili kidogo mnapopika data.
 
Back
Top Bottom