ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
hakuna cha fair mzee wakenya tabia zao ni zile zile sema tu kwa sasa dunia imewabadilikia ndio wameamua kua wapole ila mkenya ni binaadamu wa kwanza asietaka kuona tanzania ikiwapita kwa chochote 😂😂😂😂😂Ila Ruto yupo fair aisee hii maneno kama ingekuwa kipindi cha Uhuru sahau! Refer how Bakhresa was treated when trying to establish a milling plant in Mombasa!