Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hii storty ya 4 to5 days mbona ilikuwepo hata kabla ya DP world kuja, ?
Na kumbe berth zote ziko rented out kasoro ya mafuta
na wanataka tuongeze berth mpya ili wao wa rent
Watuambie mapato kiasi gani yameongezeka ?
Na pia zamani yalikuwa kiasi gani
plus dp world na andani wanalipa TPA NA TRA kiasi gani ku rent bandari for 20 years
Kwani hawajasema? Soma kwenye taarifa zao mara nyingi tuu wanaweza.

Mwisho stori n uhalisia ni vitu 2 tofauti
 
Back
Top Bottom