Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,919
- 103,791
Pesa za COVID19 zilienda wapi?
Utaumia sana Geuza Ulale.![]()
Amsons’ Bamburi takeover bid rival faces Sh90bn fraud charges
Amsons’ bid faces competition from Savannah Clinker Limited, whose founder, Mr Benson Ndeta, was last Friday arraigned in Nairobi on Ksh4.5 billion (about Tsh90.5 billion) fraud chargeswww.thecitizen.co.tz
Ooopalaa!! Briefcase company!!
Teargas NairobiWalker n mwathadan
Acha kumsapoti ujinga wake, kwa mujibu wa historia ya lugha, hizo dialect hazikua kiswahili, ispokua yalikuwepo maneno ya kabila hizo yenye they contributed to Kiswahili language that we have right now.Hilo halipingwi kuwa makabila ya pwani zote za Afrika mashariki wamekua wakiongea kiswahili kama lugha asilia tangu karne za zamani.
Ila je chanzo kimeanzia wapi hadi kusambaa viunga vyote vya pwani nzima ya Afrika mashariki!??
Kilwa!!Hilo halipingwi kuwa makabila ya pwani zote za Afrika mashariki wamekua wakiongea kiswahili kama lugha asilia tangu karne za zamani.
Ila je chanzo kimeanzia wapi hadi kusambaa viunga vyote vya pwani nzima ya Afrika mashariki!??
Niumie vp wakati Amsons Wame-invest Tanzania?Utaumia sana Geuza Ulale.
View: https://x.com/Abdulwahab_you/status/1831700288656535573
MY TAKE
South Sudan should be wise enough and consider EACOP as both Kenya and Ethiopia are not reliable routes!
View: https://x.com/BlairMusinguzi0/status/1861388438529769670
Figisu lipo baba hapo kuna Ethiopia anatumia ushawishi kaipa South Sudan fedha za Barabara! Ila Ethiopia haiko stable ina internal tribal conflicts! Hiyo pipeline itapita Oromo region!Sijui shida nini au ego mbona EACOP inaweza msaidia South Sudan kusave na anaweza kua na uhakika na usalama wa Bomba lao ukiona umepita Uganda na Tz nchi hizo zote zinachukulia EACOP kwa umhimu mkubwa.
Viongozi wengine Jau, naona kama siku hizi to be honest kama viongozi wetu wamepoa kwenye figisu hapa EA, ilitakiwa Salva Kiir asiondoke bila kumpropose hiyo kitu.
Kilwa utamchanganya maana huko nyuma ilikuwa ikiandikwa Quiloa kama sikosei ila swahili translation ndio kilwa. Wewe muulize anajua Azania?Sasa mbona hamjui kukiongea?
Wapumbavu sana. Huoni mnajiaibisha. Yaani kitu chenu hamkijui na bado mnajiita chenu.
Unajua hata how old is Kilwa?
Hali ngumu ya maisha watu wanachakaa mapema. Si unamuona Teargas ni kijana mdogo sana lakini utafikiri yuko in his 50s 😁Nimecheka aliposema "Ile mtoto niloifukuza kwa camera inaonekana kama ya miaka 45 akati ametoka kunyonya juzi"😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌🙌.
Mzungu kawapa za uso huko! Tumewaambia Nginjanginja haliwezi mziki wetu.
View: https://m.youtube.com/watch?v=uIYaUTyJOio
View attachment 3167967
Ndio hivyo sasa twende na mgongo wa usalama maana inapindulika dili tu. In long run tunaweza kua na sustainability ya uchumi ukiwa na nchi 2 zenye uhusiano mkubwa.Figisu lipo baba hapo kuna Ethiopia anatumia ushawishi kaipa South Sudan fedha za Barabara! Ila Ethiopia haiko stable ina internal conflicts!
Ni wajinga sana aren't you wondering nchi inayojidai lugha imeanzia kwao hawaijui hata. Does it make sense kuna taifa lugha imeanzia kwao na hawaijui?Kilwa utamchanganya maana huko nyuma ilikuwa ikiandikwa Quiloa kama sikosei ila swahili translation ndio kilwa. Wewe muulize anajua Azania?
Kiukweli EACOP ina upperhand kwenye hili maana kutoka Unity state kulipo visima mpaka Lake Albert ni around 800km na Total ana oil fields huko wakati kwenda Lamu port au Port Djibouti ni zaidi ya 1500 km!Ndio hivyo sasa twende na mgongo wa usalama maana inapindulika dili tu. In long run tunaweza kua na sustainability ya uchumi ukiwa na nchi 2 zenye uhusiano mkubwa.
Cheki zambia kuna TAZAMA, TAZARA now UMEME. Ndio hivyo inatakiwa yaani unakua na mradi mmoja ambao nchi nyingine inautegemea sana ila upo nchi yako na nchi yako haina ujinga kama wa Wakunya kumdalalia mafuta Uganda
I saw this video on Facebook nikabaki na mshangao sana na kujiuliza hii battle ni ya nini. Yani uswazi kila Kona and unpaved roads is the order of the day everywhere. Dar es salaam is ugly from a bird's eye view.USWAZI left right and center.
Afcon wageni watapigwa na butwa wakiland hapo.
Mzungu kawapa za uso huko! Tumewaambia Nginjanginja haliwezi mziki wetu.
View: https://m.youtube.com/watch?v=uIYaUTyJOio
View attachment 3167967