buffalo44
JF-Expert Member
- May 8, 2016
- 5,126
- 13,106
You sure?Ametembea Kenya a couple of times akaona uhalisia wa vitu. Nyinyi ambao bado hamjatembea ndio mnaendelea kupiga kelele eti ooh njaa, sijui ukabila sijui nini.
You sure?Ametembea Kenya a couple of times akaona uhalisia wa vitu. Nyinyi ambao bado hamjatembea ndio mnaendelea kupiga kelele eti ooh njaa, sijui ukabila sijui nini.
Mkumbushe kuhusu Coalition of Willing (COW).kaka tulichoshinda sisi ni kupunguza kodi na kununua hisa ya 15% na bahar nzuri huku ardhi ni mali ya serekali ndio maana hata mradi ukashuka cost yake lakini ukienda head to head walipaswa kushinda ila sisi tulitumia fitna na ushawishi ambacho ni kitu kizuri sana tulifanya
kwa sasa tusikatae hatukua kwenye ushindani wa kulazmisha uganda kutumia SGR yetu tusikatae kabisa, tumeshindwa kwasababu kwa sasa hakuna ufatiliaji wala ushawishi wowote
Kwani hata Sasa ukijenga Sgr through Bukoba ndio Uganda wasingejenga ya kwao ku connect na Kenya?hvi unategemea mombasa to uganda kwa SGR cost yake itakua sawa na kutoa mzigo dar upeleke mwanza upakue ueke kwenye meli iende port bell tena ibebwe kwenye treni iende kampala
tusijidanganye hata kidogo tumeshindwa vita tukubali, kitu mm nashangaa kama tulijua mombasa ni karibu sana kwann tulikua tunashindana kujenga SGR through bukoba na kutumia njia mwanza to port bell, sijui tulikua tunashindania nn sasa au kwa sasa hakuna ufatiliaji??
Unasema washamba? Wakati Nairobi watu wanaiba taa za barabarani, traffic lights na battery zake.... Nairobi ni barabara chache sana traffic lights zinafanya kazi....ziliibwa na kuharibiwa mpaka wanaweka traffic police siku hiz...Bongo washamba.
daaaaaah 😂😂😂😂😂That's it afadhali ungeanza na uwasilishaji huu.
shida sio kujenga shida ni tutaweza kuzisimamia na tukawajibika ipasvyo ili kuleta ushindani wa kweli???Tunajenga meli kubwa za mizigo lake Victoria na Tanganyika in under 24 hours mizigo iko Port bell Uganda.
usiseme hakuna alieforce wakat tulikua tunatuma ujumbe mara kwa mara kwenda uganda kufanya maridhiano na kutumia ushawishi wa kutumia tanzania na mmoja wa ujumbe hao alikuwepo prof kabudi, na last time niliona mseven amekaa na wajumbe kutoka tanzania na kenya ili kujadili wapi litapita leo tunaongea vitu gani jamani😂😂😂Hakuna aliyeforce na kuingilia deal la bomba la mafuta mwenye mradi TOTAL ndio kaamua lipite Tanzania kwasababu muda wa utekelezaji ungekuwa mfupi na gharama nafuu pamoja na security ya mradi wao.
reli imejengwa vzr sana tena kwa viwango vya kimataifa shida kubwa uwajibikaji tuTuliwaambia hhi reli yenu imejengwa kijua kali
Ebu tutajie hizo barabara chache zenye traffic lights zinafanya kazi.Unasema washamba? Wakati Nairobi watu wanaiba taa za barabarani, traffic lights na battery zake.... Nairobi ni barabara chache sana traffic lights zinafanya kazi....ziliibwa na kuharibiwa mpaka wanaweka traffic police siku hiz...
ndio hichi nachozungumza hapa muda wote kwa sasa hakuna uwajibikaji wala ushawishi hata waziri mkuu wa nchi hii humsikii makamu humsikii kabisa.Ni sawa mzee ila logic and rational yako ipo kama ChoiceVariable.
Hatuwezi jua mpaka Uganda afikie huko huenda upo sahihi. Ila mzee uwasilishaji wako wa mada these days ni kama sio wewe yule tuliyemzoea.
Ni kweli inafikirisha Uganda kwenda Kenya na reli yake ya Electric akaacha ya Tz ambayo Mwanza tayari inajengwa.
Let's see.
nikisema hapa naonekana mamluki haya mambo ni aibu inasikitisha sana hakuna mtu anawajibika wala kuwajibishwa.Mkono wa chuma unahitajika hapa.
Hata Katarama kupigwa mawe kuna watu wanachekelea.
Bongo tuna kawaida ya kuchukulia vitu poa sababu hatupati consequences ya actions zetu. Ifike mda kila mtu awe analipwa na ujinga wake au wema wake.
wewe nae chizi majority ya DRC minerals yanapita through zambia border inaitwa kasumbalesa kama kitu hujui uliza uelimishwe kunguni wewe 😂😂Majority of DRC minerals ziko huko sides za Uganda and that’s where railway is heading, nyinyi itabidi mbaki tu na Burundi juu sioni mkifaulu kufika to the core of DRC minerals.
I’m really happy for Uganda. They have adopted all the features of Kenyan SGR.
View: https://x.com/RailwaysUganda/status/1859527646159212998
sio kuparuarana sasa hvi hakuna ushawishi wala uwajibikaji kila mtu anajiendea tu 😂😂😂😂Option 2 ziko wapi? Wazee wa Sgr za mchongo mnaparurana 😂😂
Chaa ajabu bomba linapita tzMzee Uganda kwetu ni aditional tu. Target ya Tanzania is DRC and Burundi. Uganda haina madini ya kubeba mdogo wangu. Nendeni mkabebe Ndizi na Lubisi toka Uganda. 🤣🤣🤣🤣
wewe huna ulijualo kazi yako nikuokota chochote tu google ukilete hapa ujione unaakili 😂😂😂😂Au siyo? 😂😂👇👇View attachment 3160861
kwani bomba la mafuta kupita tanzania je haikuondoa urefu wa kupita lamu kua mfupi zaidi 😂😂😂😂😂Kwani hata Sasa ukijenga Sgr through Bukoba ndio Uganda wasingejenga ya kwao ku connect na Kenya?
Kama mnashindana kujenga Sgr kwenda Uganda via Bukoba ndio ingezuia Kampala-Malaba-Nairobi-Mombasa pasiwe pafupi?
Huna hoja ,naungana na aliyesema lengo la Sgr NJ Burundi na DRC vinginevyo rudini kwenye hoja yangu ya Sgr ya mapambo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kutupia gari mawe ni ushamba. Kung'oa traffic lights ni wizi (ambao upo hata hapo Vumbistan).Unasema washamba? Wakati Nairobi watu wanaiba taa za barabarani, traffic lights na battery zake.... Nairobi ni barabara chache sana traffic lights zinafanya kazi....ziliibwa na kuharibiwa mpaka wanaweka traffic police siku hiz...
kwahiyo ndio wafanye uharibifu? watoto wanajua nn kuhusu viongozi zaidi ya utukutu?viongozi hawawajibiki ipasavyo
mzigo wa Uganda ni wa kugawana!Kwani hata Sasa ukijenga Sgr through Bukoba ndio Uganda wasingejenga ya kwao ku connect na Kenya?
Kama mnashindana kujenga Sgr kwenda Uganda via Bukoba ndio ingezuia Kampala-Malaba-Nairobi-Mombasa pasiwe pafupi?
Huna hoja ,naungana na aliyesema lengo la Sgr NJ Burundi na DRC vinginevyo rudini kwenye hoja yangu ya Sgr ya mapambo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣