Majuzi si kuna wabunge walitoka Uganda kujifunza uendeshaji wa SGR, mbona hawaendi Kenya?Hawa wakenya ni wajinga sn, yn wanaona kabisa picha linapoenda kuishia lkn bado wanajitoa ufahamu, mmoja anakuambia eti electric powered sgr ya Uganda Ina features kama za fossil fuels a.k.a diesel jointed and outdated a.k.a upgraded mgr yao 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
They have been to Kenya several times, Tanzania wamekuja once sasa mnataka dunia nzima ijue. 😂😂Majuzi si kuna wabunge walitoka Uganda kujifunza uendeshaji wa SGR, mbona hawaendi Kenya?
Hehehe watanzania hapa mtakula kwa macho😂😂😂
View: https://x.com/InfraUganda/status/1859567116241764853
Mtaumia hadi lini?😂😂😂Soon is the key!
viongozi wa kenya wameshaona watu wao ni washamba sana, mradi kama huu una faida gani kwa uchumi wa watu wa kenya?, au ndo miradi ya upigaji kwa viongozi?
naona mende museum!
Kenyan economy is bigger than Tanzanian economy, ama uchumi gani unaongelea?viongozi wa kenya wameshaona watu wao ni washamba sana, mradi kama huu una faida gani kwa uchumi wa watu wa kenya?, au ndo miradi ya upigaji kwa viongozi?
Sawa mjinga.Haya ni maneno ya kuwafariji ng'ombe wa kunyaland ili wasilipuke na kuchoma moto mabanda yao... Hii ni ku counter news ya ground breaking ya huko Uganda...
Ndio mlichobakiwa nacho... Mdomo mdomo tu... Na saiv kunyaland imekuwa Nchi ya mazezeta... Ni mwendo wa kudanganywa tuu... Ukipinga ni kupelekwa mbinguni jumla jumla na genge la kina kibet...
Hivyo hata ukitetea hapa kuhusu kunyaland na kuelewa sana... Unaogopa kuwa abducted... Nabii anawanyorosha kweli kweli
Mko hata na Museum in Tanzania really?😂😂naona mende museum!
Unadhani mimi taahira kama wewe!?Acha uongo wewe quack, Tanzania has more blackout than Ethiopia. Ethiopia has power surplus while Tz has no power to satisfy the nation.
hizi ni zile barabara husombwa na maji!
Nchi sita za upuuzi!Tanzania imepakana na nchi nane, tukiwatoa nyinyi na Uganda zinabadi nchi sita, they all depend on us. Tunao mtandao mkubwa wa reli kuliko nchi zote za Africa mashariki zikiunganisha reli zao. Tunajenga SGR to link mataifa muhimu mfano Congo, sasa tuumie kisa nini nyinyi mkiunga Uganda budaa.? Mbona wewe ni mpumbavu mmoja.? 😂😂😂