Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yani wanaanzia malaba na bado jamaa zinabisha eti wataunganisha kwao.😂😂 Hawa majamaa bana. Hawa wanaweza kana mama zao ili washinde mjadala.😂😂
Mzee Uganda kwetu ni aditional tu. Target ya Tanzania is DRC and Burundi. Uganda haina madini ya kubeba mdogo wangu. Nendeni mkabebe Ndizi na Lubisi toka Uganda. 🤣🤣🤣🤣
 
Yani wanaanzia malaba na bado jamaa zinabisha eti wataunganisha kwao.😂😂 Hawa majamaa bana. Hawa wanaweza kana mama zao ili washinde mjadala.😂😂
Ati hakuna vile Uganda itaunganisha reli yao na ya Kenya yet Uganda has started construction at the Kenyan border, may huyo watchman hajui penye malaba iko😂😂
 
Yani wanaanzia malaba na bado jamaa zinabisha eti wataunganisha kwao.😂😂 Hawa majamaa bana. Hawa wanaweza kana mama zao ili washinde mjadala.😂😂
Tunawagonga taratibu tu. Walahatuhitaji kuwalaza njaa


1732183885734.png
 
Tatizo unaishi kwenye image nation 🤣 🤣 🤣 🤣
Kwa sasa Tanzania imeamua kuwekeza kwenye Mining.

Kuna Nickel Mining - Unajua matumizi yake? Kuna cobalt kutoka Burundi. Kuna Copper kutoka DRC and so many.

Hizo vitu unasema zote has been passing at your ports yet Mombasa still handles more cargo than all ports in Tanzania put together. Hamna mizigo ya maana Tanzania😂😂
 
Ati hakuna vile Uganda itaunganisha reli yao na ya Kenya yet Uganda has started construction at the Kenyan border, may huyo watchman hajui penye malaba iko😂😂
Tanzania imepakana na nchi nane, tukiwatoa nyinyi na Uganda zinabadi nchi sita, they all depend on us. Tunao mtandao mkubwa wa reli kuliko nchi zote za Africa mashariki zikiunganisha reli zao. Tunajenga SGR to link mataifa muhimu mfano Congo, sasa tuumie kisa nini nyinyi mkiunga Uganda budaa.? Mbona wewe ni mpumbavu mmoja.? 😂😂😂
 
Ati hakuna vile Uganda itaunganisha reli yao na ya Kenya yet Uganda has started construction at the Kenyan border, may huyo watchman hajui penye malaba iko😂😂
Unajua spatial knowledge hawana. We established that yesterday with buffalo44 . Kama buffalo44 Ako poor kwa spatial knowledge na yeye ndio angalau ana unafuu likija swali la intelligence kwa Wavumbistan wa hii thread unategemea watchman awe aje?😂
 
Tanzania imepakana na nchi nane, tukiwatoa nyinyi na Uganda zinabadi nchi sita, they all depend on us. Tunao mtandao mkubwa wa reli kuliko nchi zote za Africa mashariki zikiunganisha reli zao. Tunajenga SGR to link mataifa muhimu mfano Congo, sasa tuumie kisa nini nyinyi mkiunga Uganda budaa.? Mbona wewe ni mpumbavu mmoja.? 😂😂😂
Ugandan Cargo that passes through Mombasa alone is more than all the combined cargos of those countries that pass through Dar port, ama unapinga nilete evidence kwenye kalatas?😂😂
 
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Tuoneshe lini mmepitisha Nickel.
Hapa tunaongelea Bulk mzee.
Bulk=weight.

Kama u aongelea bulk ebu tuambie why Dar tonnage handling is half that of Mombasa. Ama hujui what bulk equates to?😂😂
 
Unajua spatial knowledge hawana. We established that yesterday with buffalo44 . Kama buffalo44 Ako poor kwa spatial knowledge na yeye ndio angalau ana unafuu likija swali la intelligence kwa Wavumbistan wa hii thread unategemea watchman awe aje?😂
I can confidently say that 98% of Tanzanians in this thread are primitive and illiterate 😂😂
 
Back
Top Bottom