Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Uganda has never been our dependable market hata kwenye usafirishaji mizigo only a fraction of Uganda cargo passes via Tanzania. There is nothing for us to worry about Kenyan sgr connection to Uganda. EAC railway masterplan is to merge all these railway systems in order to have a seamless connection hivyo market forces will determine which route is profitable.
So tell me, which/what benefit is Tanzania going to get from taking railway to the poorest country in the world?
 
Just a reminder.

1732308034315.jpeg
 
Kwanza naomba kuuliza, hv imeshawahi kutokea duniani electric powered railway kuunganishwa na diesel jointed railway?
Cha muhimu ni upana wa reli, kama unafanana haina shida. Hata kwetu kichwa cha diesel kinatembea bila tatizo (si unakumbuka kile kichwa cha blu na njano cha Yapi Merkezi kilichoanguka na kubonyea upande mmoja)? kile kilikuwa cha diesel.

Hata Tazara ukienda nayo mpaka Cape Town, Afrika kusini kuna mahali reli ina nyaya za umeme. Ile Rovos ikiwa kule kuna mahali wanatumia vichwa vya umeme na sehemu nyingine vya diesel.
 
Cha muhimu ni upana wa reli, kama unafanana haina shida. Hata kwetu kichwa cha diesel kinatembea bila tatizo (si unakumbuka kile kichwa cha blu na njano cha Yarpi Markezi kilichoanguka na kubonyea upande mmoja)? kile kilikuwa cha deisel.
Teach that watchman proper leasons, jama hukuwa fala sana. Yeye udhani what determines the SGR is the means of locomotive powering.
 
"We are far better than Tanzania as far as kilometers of paved roads is concerned"
On ground, vitu havikai 👇👇🤣🤣🤣🤣🤣
View attachment 3159314View attachment 3159315
Wakenya ni watu waongo waongo sana.
Sijui wanafaidika nini na uongo uongo.
Imagine mtu anasema ana paved Road network ya 22k km na Nairobi kimji Chenye 696 Sqkm kina km 7000. From Johannesburg mpaka Egypt ni km 8388...ila Nairobi pekee in km 7000...aloo! Kenyans
 
Wakenya ni watu waongo waongo sana.
Sijui wanafaidika nini na uongo uongo.
Imagine mtu anasema ana paved Road network ya 22k km na Nairobi kimji Chenye 696 Sqkm kina km 7000. From Johannesburg mpaka Egypt ni km 8388...ila Nairobi pekee in km 7000...aloo! Kenyans
We nae uliskiliza maneno ya yule mpumbavu. 😂😂😂
 
Wakenya ni watu waongo waongo sana.
Sijui wanafaidika nini na uongo uongo.
Imagine mtu anasema ana paved Road network ya 22k km na Nairobi kimji Chenye 696 Sqkm kina km 7000. From Johannesburg mpaka Egypt ni km 8388...ila Nairobi pekee in km 7000...aloo! Kenyans
Yaani wana lami hadi Kwenye matendegu😂 Mzee wa Msoga aliwahi sema.
 
Aliuliza swali vizuri, akajibiwa, tatizo liko wapi?
Jamaa hajui what SGR is, ashaambiwa mara nyingi lakini bado imekataa kumuingilia. Give him time and see that watchman asking the same question yenye umemjibu leo.
 
Back
Top Bottom