REAL Comrade Kipepe
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 3,230
- 10,913
La pili after lake Baikal la Russia.Ziwa lenye kina kirefu zaidi duniani.
La pili after lake Baikal la Russia.Ziwa lenye kina kirefu zaidi duniani.
Sio wanaamini uongo, hao wanapenda uongo kwasababu ni wajinga wanaopenda kujifariji, no wonder njaa inawauwa every year.sijui kwanini hawa jamaa wanaamini ulongo juzi kuna mmoja anadai Nairobi pekee ina peved roads 7000kn
🤣 🤣 🤣 🤣
Miezi kadhaa imepita sasa Tunapenda kuhoji kama mradi wa SGR kipande cha Mwanza kimesimama au mradi unaendelea Maana siku zimepita bila kushuhudia wakandarsi wakifanya kazi katika mradi huo Mkubwa.Tunapenda kufahamishwa kama mradi unaendelea au umekwama kuendelea.Au Kuna changamoto ambazo zimejitokeza katika kutekeleza mradi huo.
Bandari ya Adani inaendelea aje? 😂😂
Subirini mpelekwe London courts kwa ku-violate agreement! Goldenberg scandal II!Bandari ya Adani inaendelea aje? 😂😂
Uganda has never been our dependable market hata kwenye usafirishaji mizigo only a fraction of Uganda cargo passes via Tanzania. There is nothing for us to worry about Kenyan sgr connection to Uganda. EAC railway masterplan is to merge all these railway systems in order to have a seamless connection hivyo market forces will determine which route is profitable.Utakufa before Uganda ifikirie kuunganisha their SGR na ya Tanzania, Najua mnaumia kupoteza soko kubwa kwa Kenya lakini hakuna kitu mtafanya kwa sasa😂😂😂😂
With EACOP passing entirely on Tanzanian territory n an uncontested chance the pipeline to connect to South Sudan n eastern DRC, we need only 30% of Uganda’s cargo to put Kundustan’s economy in disarray!Uganda has never been our dependable market hata kwenye usafirishaji mizigo only a fraction of Uganda cargo passes via Tanzania. There is nothing for us to worry about Kenyan sgr connection to Uganda. EAC railway masterplan is to merge all these railway systems in order to have a seamless connection hivyo market forces will determine which route is profitable.
Kwanza naomba kuuliza, hv imeshawahi kutokea duniani electric powered railway kuunganishwa na diesel jointed railway?Uganda has never been our dependable market hata kwenye usafirishaji mizigo only a fraction of Uganda cargo passes via Tanzania. There is nothing for us to worry about Kenyan sgr connection to Uganda. EAC railway masterplan is to merge all these railway systems in order to have a seamless connection hivyo market forces will determine which route is profitable.
Anakwenda kuwa mmoja kati ya washirika wetu wakubwa sn kiuchumi kuliko hata ushirika wake na Kenya, ushirika wa vitunguu, maziwa na ndizi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Uganda has never been our dependable market hata kwenye usafirishaji mizigo only a fraction of Uganda cargo passes via Tanzania. There is nothing for us to worry about Kenyan sgr connection to Uganda. EAC railway masterplan is to merge all these railway systems in order to have a seamless connection hivyo market forces will determine which route is profitable.
Hakuna namna Uganda ataruhusu polluting diesel leaking nginjanginja on its line mizigo yote itaishia malaba na kuungwa kwenye electric locomotive to KampalaKwanza naomba kuuliza, hv imeshawahi kutokea duniani electric powered railway kuunganishwa na diesel jointed railway?
Nmecheka sn kuna sehem nmeona kuna kichaa wa kikenya eti ka share article inasema treni itatoka Kampala-Malaba all the way to Mombasa, huu si uchale huu jamani wakenya wanaleta? Sisi tuliwaambia wakenya walikurupuka, now wamegundua we were and we are smarter than them, ili waunganishe reli yao na ya Uganda inabidi reli yao waiwekee cartenaries za umeme na hilo ili liwezekane inabidi waifumue reli yote kuanzia tuta waanze upya alafu waichomelee isiwe nginja nginja, kitu ambacho hakiwezwkani coz GoK haina hata pesa ya kujenga stadium ndiyo ijenge reli? Mkopo hawatopata mana hawakopesheki, hadi rahaaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hakuna namna Uganda ataruhusu polluting diesel leaking nginjanginja on its line mizigo yote itaishia malaba na kuungwa kwenye electric locomotive to Kampala