Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hivi haiwezekani kusuka bridge kutoka Karema Port to DRC throught lake Tanganyika?
Ndugu Kutoka Karema Kwenda Moba DRC ni 89km. Ni parefu mno ndugu. Daraja la urefu huo.

1732258388703.png
 
Labda unifundishe kijaluo

Kwa treni yenu hiyo mbovu, mnatumia 14 days kufika Kampala... Ila mkitumia Reli ya standard ambayo Uganda ndio wanataka kuanza kujenga mtatumia 24hrs from msa to Kampala...
Hivyo kwa watu wa siaya watatumia SGR ya Uganda kupeleka mzigo kwao maana watatumia muda mfupi zaidi kuliko kutumia nginja nginja hiyo ya mchina

Nadhani umeolewa sasa... Au bado?

View attachment 3158355

Ukiangalia hii ramani vizuri SGR Tanzania inaweza kuungana na Kampala kupitia Kagera na western route ya Kampala! It’s all about maths especially kama Tanga port itaunganishwa na SGR ya kwenda Mwanza na kufupisha umbali!
Gc-JjxEXsAAN3u6
 
Tutumie something like Trum,uhandisi haujashindwa kitu
Sasa Kuliko kujenga daraja la gharama namna hiyo, say over $2 bln si bora wakajenga wagon ferries nne za kubeba mabehewa ya SGR mawili yakishuka na mawili yakipanda?

Hivi unajua na utajiri walionao France na UK English channel tunnel haijarudisha hela mpaka leo miaka 30 na zaidi? Wajenge reli badala yake kama ya Tanga-Musoma na iunganishwe na ya Mwanza kupitia Singida na Dar kupitia Ruvu!
 
Sasa Kuliko kujenga daraja la gharama namna hiyo, say over $2 bln si bora wakajenga wagon ferries nne za kubeba mabehewa ya SGR mawili yakishuka na mawili yakipanda?
Sgr na miundombinu yake km 722 ni Trilioni 13 ,sembuse hiyo Trilioni 5?

Kwani mnajenga mnakimbilia wapi?

Tuanze ujenzi haraka sana ,faida itakayoingiza Kwa miaka 5 ni zaidi ya hiyo over $2bln.

Morocco na Spain wanafanya hivyo na Nchi zingine kibao tuu huko Asia na Ulaya.
 
Utake, usitake... Uganda wata weka marshaling hapo Tororo ambayo ita serve huko Siaya na other western parts za kunyaland. Sioni uwezekano wa rails kuwafikia in 20yrs to come.
So SGR ya Kenya kufika Malaba itaruka angani kutoka Naivasha hadi Malaba? Mbona watanzania wote hukuanga wajinga hivi? So Mizigo Zitoke Mombasa, zikitengenezwa Siaya hadi Tororo alafu zirudishwe Siaya tena? Wewe ni mjinga tu kama mamako.

Let me tell you the SGR route to Malaba. Usipopata Siaya hapo niambie nihame JF malaya hii.

1732266502372.jpeg
 
Ukiangalia hii ramani vizuri SGR Tanzania inaweza kuungana na Kampala kupitia Kagera na western route ya Kampala! It’s all about maths especially kama Tanga port itaunganishwa na SGR ya kwenda Mwanza na kufupisha umbali!
Gc-JjxEXsAAN3u6
Utakufa before Uganda ifikirie kuunganisha their SGR na ya Tanzania, Najua mnaumia kupoteza soko kubwa kwa Kenya lakini hakuna kitu mtafanya kwa sasa😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom