Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

alaf suluhu ya wahanga huko kariakoo inasubiriwa michango ya watanzania😂

akili yako unafkiria ni haters tu mtu akisema ukweli basi ni hater
Je umewahi ona wahanga wamekosa mahitaji kisa kusubiria michango?

Michango ni hiari kulingana na watu walivyogusa.

Serikali inawatibu Bure,imegharamia masishi,imewaokoa nk ila haiwezi wapa pesa Kwa sababu sio wajibu wake but wafiwa Watapata pole.

Serikali ya Suluhu haijawahi kula pesa za wahanga kama serikali ya Mwendazake alipokula pesa za wahanga wa tetemeko.

Jana nilifurahi sio Kwa sababu ya Taifa Stars ila Kwa haters kuumbuka maana mlitaka Stars isifuvu mumzodoe Rais.

Kwa taarifa yenu tuu mtaumia sana yaani mnavyoongeza chuki ndivyo nyota inang'aa.

Waulizeni Machadema wako wapi saizi ,Samia ana leadership intelligence na nyota Kali sana 🤣🤣👇👇

View: https://x.com/SuluhuSamia/status/1858906985141317698?t=ZntfwMOtSTLOTPFaM56rZg&s=19
 
I like how Kenyans are taking your jabs lightly in the comments. Ingekuwa the other way round ingekuwa disaster. Mngeidiscuss Hadi kwa parliament. Kila Mtanzania angekuwa Analia vile Kenyans are evil people. I hope you'll maintain the same civility tukianza banter zetu.
Eti Lightly, uko na illusion ya ajabu. Mna nini cha maana Hapa EA?
 
I like how Kenyans are taking your jabs lightly in the comments. Ingekuwa the other way round ingekuwa disaster. Mngeidiscuss Hadi kwa parliament. Kila Mtanzania angekuwa Analia vile Kenyans are evil people. I hope you'll maintain the same civility tukianza banter zetu.
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Maneno meeeeengi utekelezaji zero. Ndi tabia za Kundudwellers

1732076605291.png
 
I like how Kenyans are taking your jabs lightly in the comments. Ingekuwa the other way round ingekuwa disaster. Mngeidiscuss Hadi kwa parliament. Kila Mtanzania angekuwa Analia vile Kenyans are evil people. I hope you'll maintain the same civility tukianza banter zetu.
SADC is taking over AFCON Kati ya Team 24, Tisa kutoka SADC

  1. South Africa 🇿🇦 qualified
  2. Zimbabwe 🇿🇼 qualified
  3. Botswana 🇧🇼 qualified
  4. Zambia 🇿🇲 qualified
  5. Mozambique 🇲🇿 qualified
  6. Angola 🇦🇴 qualified
  7. Comoros 🇰🇲 qualified
  8. Tanzania 🇹🇿 qualified
  9. Congo DR 🇨🇩 qualified
 
Qualified for the 2025 AFCON tournament. 🏆✨
Kiingereza mingi kumbe hamna kitu kichwani🤣🤣🚮

• Morocco 🇲🇦 (𝐡𝐨𝐬𝐭)
• Burkina Faso 🇧🇫
• Cameroon 🇨🇲
• Algeria 🇩🇿
• Senegal 🇸🇳
• DR Congo 🇨🇩
• Angola 🇦🇴
• Egypt 🇪🇬
• Equatorial Guinea 🇬🇶
• Ivory Coast 🇨🇮
• Uganda 🇺🇬
• South Africa 🇿🇦
• Gabon 🇬🇦
• Nigeria 🇳🇬
• Tunisia 🇹🇳
• Zimbabwe 🇿🇼
• Zambia 🇿🇲
• Mali 🇲🇱
• Comoros 🇰🇲
• Sudan 🇸🇩
• Benin 🇧🇯
• Tanzania 🇹🇿
 
SADC is taking over AFCON Kati ya Team 24, Tisa kutoka SADC

  1. South Africa 🇿🇦 qualified
  2. Zimbabwe 🇿🇼 qualified
  3. Botswana 🇧🇼 qualified
  4. Zambia 🇿🇲 qualified
  5. Mozambique 🇲🇿 qualified
  6. Angola 🇦🇴 qualified
  7. Comoros 🇰🇲 qualified
  8. Tanzania 🇹🇿 qualified
  9. Congo DR 🇨🇩 qualified
Africa power house in football south of Sahara ni SADC ikiongozwa na South Africa then Tanzania and DRC in that order.
 
I like how Kenyans are taking your jabs lightly in the comments. Ingekuwa the other way round ingekuwa disaster. Mngeidiscuss Hadi kwa parliament. Kila Mtanzania angekuwa Analia vile Kenyans are evil people. I hope you'll maintain the same civility tukianza banter zetu.
Ni kwasababu sisi tunapenda mpira, kwetu mpira ni kama ibada na ndiyo maana unaona viwanja vina jaa daily, nyie mpira sio passion yenu mnafosi ili muwe sawa na Tanzania lkn nature inawakataa.
 
Back
Top Bottom